Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
Muda huu niko job mwenye matokeo zaidi kutoka MUVI TV atujuze ila hiyo ni salamu kwa CCM kutoka Zambia mnamo mwaka 2015,
Watu wa Zambia wanasemaone Zambia one nation, no one can own Zambia Forever si maneno yangu bali ni maneno ya wapiga kura waliokuwa wakiimba ndani ya MUVI TV leo huko zambia.
Ndugu Watanzania Kauli hii ya Wazambia imenikuna kichwa sana "One Zambie one nation, no one can own Zambia forever." Habari hii nimeinukuru kutoka kwa mdau aliyeleta mada ya humu jamii forums kuhusu uchaguzi wa Zambia unaoendelea hivi sasa. Kauli mbio hii ya Wazambia imekaa vizuri mno na ni falsafa yenye kuleta matumaini na haki za kitaifa bila kujali majina ya watu.
Moja ya malalamiko nchini mwetu ni kurithishana madaraka kifamilia, lakini mapinduzi ya masanduku ya kura yangefanyika kwa uhalali na hakika historia itabadilika na wenye majina itabaki histora kurithishana vyeo na kukirimiana nafasi za uongozi kwa maana ya kufuata miongozo sahihi ya demikrasia.