Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Aman iwe nanyi waku, kichwa cha habali kinajieleza vizur sana hapo juu
Nimezunguka nchi nyingi sana dunian kama Mozambik, zambia, uganda, kenya, mawali, zimbambwe, kwa madiba, usa, franch, blazil na nchi nyingine nyingi sana hiyo yote sababu ya kusaka life ile niweze kukamata mkwanja wa maana na kumek good life
Katika nchi zote hizo unafiki na wanafiki ni wachache sana tofaut na hapa kwetu, hapa kwetu kila kiumbe ni mnafiki awe dada au kaka yaan ni unafiki kwa kwenda mbele, kiwe kile chama chetu pendwa ni wanafiki wa kutupwa pamoja na lile chama letu kubwa nalo ni nafiki la kutupwa
Sasa bas sisi wabongo lin tutaacha unafiki ili tuwe kama wenzetu, maana sio kwa unafiki huu tulionao
Nawasilisha
Nimezunguka nchi nyingi sana dunian kama Mozambik, zambia, uganda, kenya, mawali, zimbambwe, kwa madiba, usa, franch, blazil na nchi nyingine nyingi sana hiyo yote sababu ya kusaka life ile niweze kukamata mkwanja wa maana na kumek good life
Katika nchi zote hizo unafiki na wanafiki ni wachache sana tofaut na hapa kwetu, hapa kwetu kila kiumbe ni mnafiki awe dada au kaka yaan ni unafiki kwa kwenda mbele, kiwe kile chama chetu pendwa ni wanafiki wa kutupwa pamoja na lile chama letu kubwa nalo ni nafiki la kutupwa
Sasa bas sisi wabongo lin tutaacha unafiki ili tuwe kama wenzetu, maana sio kwa unafiki huu tulionao
Nawasilisha