AshaFaraji
Member
- Feb 22, 2009
- 22
- 0
Pole Asha,
Nakuona kama mgeni japo hujabisha hodi, ila nikutie moyo kuwa mada yako ni nzuri sana.
Mimi sina jibu kwa sasa ila nikuhakikishie kwamba hapa JF (jamii forum) utapata majibu.Mimi mwenyewe nimesaidiwa sana hapa.Changia hoja za watu pia.
Kaa mkao wa kula Asha.
Asante exaud kwa ushauri japo mimi si mgeni sana.Nilijiunga hapa mwanzoni mwa mwaka huu lakini nikajikuta nabanwa sana na masomo mahali fulani.nikashindwa kuendelea hapa.Pia nikapoteza password mara kwa mara.
Sasa Mungu amenisaidia nimeshavaa JOHO la taaluma, kwa hiyo nitakuwa hapa jamii mara kwa mara.
Asante kwa kunitia moyo.