Uganda ya saini mikitaba yakuimarisha usafirishaji na Tanzania. Someni banner ya nyuma kwenye picha ya kushoto. Huwa tunawambia wakenya kuwa Uganda ya kwetu lakini hawaelewi. Mganda hawezi kumuacha Mtanzania. Museveni tumemlea sisi. Taasisi za serikali ya Uganda na Rwanda zina watanzania.