Tanzania na siasa za Uzushi!!

T. 2015 CCM

Member
Feb 13, 2012
26
5
Ukiwa makini na kupitia kila siku katika vyombo mbalimbali vya habari na vya mawasiliano ya kijamii, hukosi kukuta uzushi unaolenga kuuaminisha umma kuwa huo ndiyo ukweli, jambo hili halina athari kwa wakati wa sasa, bali athari yake ipo huko mbeleni. tunajenga jamii ya watu wepesi wa kuzusha na kuibua hoja zisizo na mashiko badala ya masuala ya msingi kwa taifa letu.
 
Ukiwa makini na kupitia kila siku katika vyombo mbalimbali vya habari na vya mawasiliano ya kijamii, hukosi kukuta uzushi unaolenga kuuaminisha umma kuwa huo ndiyo ukweli, jambo hili halina athari kwa wakati wa sasa, bali athari yake ipo huko mbeleni. tunajenga jamii ya watu wepesi wa kuzusha na kuibua hoja zisizo na mashiko badala ya masuala ya msingi kwa taifa letu.
You are too general try put into specific terms
 
Miaka miwili au mitatu, watu walizusha kuwa mtoto mmoja wilayani Same alichukuliwa kichawi na kkupelekwa katika machimbo yaliyokuwa yakiendelea sehemu moja huko wilayani Same, kumbe moto aliona basi limesimama na watu kutawanyika, kwa ajili ya kuchimba dawa, naye akajiunga, wakati wanarejea katika basi, naye akajiunga nao na kujikuta akishushwa bila taarifa Moshi mjini. Taarifa za uzushi kuwa alipelekwa kama msukule kwa ajili ya kutumika kutafutia madini zilienea Same nzima na kuleta usumbufu uliosababisha kuchomwa moto kwa kituo cha polisi kimojawapo wilayani humo, kutokana na hasira za wananchi, lakin muda si mrefu mtoto alipatikana na hadithi hiyo kuthibitika kuwa ilikuwa ni uzushi na uongo mtupu. Hilo ni moja kati ya mengi!
 
Haya ndo matokeo ya kutupia thread wakati unafuka povu!
"Ilikubidi ufikiri ndipo uamueeeeh, bora pazia kuliko bendera kufata upepooh!"
Sijui bendi gani hiyo jamani!
 
Miaka miwili au mitatu, watu walizusha kuwa mtoto mmoja wilayani Same alichukuliwa kichawi na kkupelekwa katika machimbo yaliyokuwa yakiendelea sehemu moja huko wilayani Same, kumbe moto aliona basi limesimama na watu kutawanyika, kwa ajili ya kuchimba dawa, naye akajiunga, wakati wanarejea katika basi, naye akajiunga nao na kujikuta akishushwa bila taarifa Moshi mjini. Taarifa za uzushi kuwa alipelekwa kama msukule kwa ajili ya kutumika kutafutia madini zilienea Same nzima na kuleta usumbufu uliosababisha kuchomwa moto kwa kituo cha polisi kimojawapo wilayani humo, kutokana na hasira za wananchi, lakin muda si mrefu mtoto alipatikana na hadithi hiyo kuthibitika kuwa ilikuwa ni uzushi na uongo mtupu. Hilo ni moja kati ya mengi!

Umefika form II kaka?

Mtoto kuzushiwa kuwa amechukuliwa msukule kupelekwa machimboni huko Same kuna uhusiano gani na siasa?

Jana tulikuwa na muhuni mmoja anajiita Jane_000 alikuwa anaanzisha threads nyingi kadiri awezavyo, mara mpenzi wangu hanifikishi kileleni, mara ooh watu JF hawanipendi..., mara mwanaume huyu sijui kafanyaje ili mradi tu ajaze kurasa lengo ni kuonekana naye yupo. Sasa naona leo tuna wewe. Kichwa cha habari ni Tanzania na Siasa za Uzushi, ndani unatuambia mtoto kachukuliwa msukule. MImi naona wewe ni ndondocha
 
Ukiwa makini na kupitia kila siku katika vyombo mbalimbali vya habari na vya mawasiliano ya kijamii, hukosi kukuta uzushi unaolenga kuuaminisha umma kuwa huo ndiyo ukweli, jambo hili halina athari kwa wakati wa sasa, bali athari yake ipo huko mbeleni. tunajenga jamii ya watu wepesi wa kuzusha na kuibua hoja zisizo na mashiko badala ya masuala ya msingi kwa taifa letu.
Usihofu ndugu, watanzania wa leo si wa jana
 
Back
Top Bottom