Tanzania na njaa zetu

Tanzania na njaa zetu

zungu santana

Member
Joined
Oct 14, 2014
Posts
23
Reaction score
18
BOSS: Unataka kuanza na mshahara gani kwa Mwezi?

DOGO: 4 Million, Gari niwe najaziwa mafuta kila mwezi, nyumba ya kuishi nalipiwa kila kitu, yaani kodi, umeme na maji, matibabu na posho ya chakula.

BOSS: Unaonaje tukikupa 20 Million na vitu vyote ulivyotaja na likizo ya miezi 2 tunakulipia nchi yoyote unayotaka kwenda Duniani?

DOGO: Eee Bwana eeehh, acha utani.!!

BOSS: Mi naendeleza tu, utani umeuanza wewe!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom