johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,534
Rais Mwinyi ktk miaka ya 80 aliitisha baraza la mawaziri ikulu na kulivunjilia mbali, ilikuwa bonge la surprise! Aliwahi kumteua Mrema kuwa NWM kinyume cha katiba. Rais Kikwete mnamo Feb 2008 alikubali mara moja kumfuta kazi rafiki yake Lowasa. Pia mara kadhaa ametimua kazi mawaziri na ni serikali yake iliyoweka historia ya kufunga mawaziri. Pia ni Rais aliyelipa mishahara ya kocha wa kigeni wa T/stars. Lakini yupo WM Sokoine aliyefunga wahujumu uchumi. Nawasilisha tujadili!