Tanzania na Barrick: Hati ya Muungano imefichwa!

Tindikali

JF-Expert Member
Mar 26, 2010
2,014
2,664
rt-1024x756.jpg


Wananchi wa Tanzania tunataka kuyasoma wenyewe hayo makaratasi ya makubaliano ya ubia na Barrick mliosaini kwa jina letu.

Taarifa rasmi ya Barrick inasema wao walivyokubaliana kuhusu mgao wa faida ni:

Economic benefits from Bulyanhulu, Buzwagi, and North Mara would be distributed on a 50/50 basis between the new operating company and the Government of Tanzania. The Government’s share of economic benefits would be delivered in the form of royalties, taxes, and a 16 percent free carry interest in the Tanzanian operations.

MAANA YAKE, pato la Tanzania la asimilia 50 litapatikana kwa kujumlisha kodi, mrabaha na ubia wetu wa 16%.

Waziri Kabudi, Rais Magufuli na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, wanasema hamsini yetu inakuja baada ya kuwa tushapata kodi, mrabaha na mgao wa ubia (16%), na hivyo tunapata zaidi hata ya mwekezaji (70% kwa maneno ya Kabudi).

Hizi taarifa zinapingana. Na tunasomewa tafsiri na kila upande, maandishi yenyewe hatuonyeshwi. Kwa nini?

Tunadai kuonyeshwa mkataba.
 
Mkataba uwekwe hadharani.
Labda uwe na kipengere cha kuwa ni SIRI.
 
rt-1024x756.jpg


Wananchi wa Tanzania tunataka kuyasoma wenyewe hayo makaratasi ya makubaliano ya ubia na Barrick mliosaini kwa jina letu.

Taarifa rasmi ya Barrick inasema wao walivyokubaliana kuhusu mgao wa faida ni:

Economic benefits from Bulyanhulu, Buzwagi, and North Mara would be distributed on a 50/50 basis between the new operating company and the Government of Tanzania. The Government’s share of economic benefits would be delivered in the form of royalties, taxes, and a 16 percent free carry interest in the Tanzanian operations.

MAANA YAKE,
pato la Tanzania la asimilia 50 litapatikana kwa kujumlisha kodi, mrabaha na ubia wetu wa 16%.

Waziri Kabudi, Rais Magufuli na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, wanasema hamsini yetu inakuja baada ya kuwa tushapata kodi, mrabaha na mgao wa ubia (16%), na hivyo tunapata zaidi hata ya mwekezaji (70% kwa maneno ya Kabudi).

Hizi taarifa zinapingana na tunasomewa tafsiri zao kila upande, lakini maandishi yenyewe hatuonyeshwi. Kwa nini?

Tunadai kuonyeshwa mkataba!








Wenzetu sio kizazi cha akina chifu Mangungo wa Msovero
 
Unataka wewe na nani??
Zile Chupa mlizotaka kutunyolea sasa inabidi mzimeze au mzikalie

Naona ni muendelezo wa yale yaliyofanywa na wakina kigoda tofauti ni lugha zinazobadilishwa mikataba ya wazungu kuishinda hapa tz yafaa taifa zima lishilikishwe.
 
Ujinga una gharama kubwa. Hapa ni wazi 50/50 inajumuisha corporate tax 30%, royalty 6% na ule umilki wa 16%. Kwa hiyo hakuna kilichoongezeka.

Tatizo kubwa la sisi watanzania tunaenda kwenye mikutano kuwasikiliza viongozi wetu tukiwa tumeandaa makofi kuwashangilia badala ya kuandaa akili na masikio ili tusikie, tutafakari na kufanya uchambuzi wa kimantiki.

Nakupongeza sana mleta mada kwa observation nzuri.
 
rt-1024x756.jpg


Wananchi wa Tanzania tunataka kuyasoma wenyewe hayo makaratasi ya makubaliano ya ubia na Barrick mliosaini kwa jina letu.

Taarifa rasmi ya Barrick inasema wao walivyokubaliana kuhusu mgao wa faida ni:

Economic benefits from Bulyanhulu, Buzwagi, and North Mara would be distributed on a 50/50 basis between the new operating company and the Government of Tanzania. The Government’s share of economic benefits would be delivered in the form of royalties, taxes, and a 16 percent free carry interest in the Tanzanian operations.

MAANA YAKE,
pato la Tanzania la asimilia 50 litapatikana kwa kujumlisha kodi, mrabaha na ubia wetu wa 16%.

Waziri Kabudi, Rais Magufuli na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, wanasema hamsini yetu inakuja baada ya kuwa tushapata kodi, mrabaha na mgao wa ubia (16%), na hivyo tunapata zaidi hata ya mwekezaji (70% kwa maneno ya Kabudi).

Hizi taarifa zinapingana na tunasomewa tafsiri zao kila upande, lakini maandishi yenyewe hatuonyeshwi. Kwa nini?

Tunadai kuonyeshwa mkataba!







Siri ya mtungi.........!
 
Lissu wenu hana impact yoyote kwa serikali ni mapanic yenu tu. He is nothing kwa taarifa yenu. Hata mkitaka mkamtandike zingine za uso tena lakini bado hamtateteresha serikali. Kalagabaho!
Una uelewa wowote kuhusu andiko lako? Kama una ushahidi na hili mkuu nakuomba uwasilishe kwa vyombo vya dola ili kuondoa ukakasi uliyopo
 
rt-1024x756.jpg


Wananchi wa Tanzania tunataka kuyasoma wenyewe hayo makaratasi ya makubaliano ya ubia na Barrick mliosaini kwa jina letu.

Taarifa rasmi ya Barrick inasema wao walivyokubaliana kuhusu mgao wa faida ni:

Economic benefits from Bulyanhulu, Buzwagi, and North Mara would be distributed on a 50/50 basis between the new operating company and the Government of Tanzania. The Government’s share of economic benefits would be delivered in the form of royalties, taxes, and a 16 percent free carry interest in the Tanzanian operations.

MAANA YAKE,
pato la Tanzania la asimilia 50 litapatikana kwa kujumlisha kodi, mrabaha na ubia wetu wa 16%.

Waziri Kabudi, Rais Magufuli na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, wanasema hamsini yetu inakuja baada ya kuwa tushapata kodi, mrabaha na mgao wa ubia (16%), na hivyo tunapata zaidi hata ya mwekezaji (70% kwa maneno ya Kabudi).

Hizi taarifa zinapingana na tunasomewa tafsiri zao kila upande, lakini maandishi yenyewe hatuonyeshwi. Kwa nini?

Tunadai kuonyeshwa mkataba!







30%+50%=70% ?!!!!!!!!!!!!!!........sina hakika kama jawabu ni sahihi!
 
Back
Top Bottom