DOFFA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 425
- 233
MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YANAWEZEKANA KAMA YAFUATAYO YATAPEWA KIPAO MBELE NA NCHI TUKIONGOZWA NA SERIKALI:
1. Kusimamia sera ya kijamaa na kujitegemea ili kutumia ardhi yetu inavyopasa pamoja na rasilimali zingine.
2. Serikali na Taasisi zingine kutoa elimu kama huduma kwa jamii siyo biashara na serikali isimamie miongozo na sera kikamilifu ili kutoa elimu sawa kwa wote.
3. Serikali isimamie vizuri rasilimali za nchi kama utalii,madini,gesi,anga,bandari,uvuvi,mifugo na kilimo ili yote haya yawe na mchango mkubwa kwenye maeneo muhimu kwa nchi mf.maeneo ya huduma na biashara.Ili kila mtu ajenge nyumba bora lazima bei ya vifaa ya ujenzi ishuke na kuwa rafiki kwa watu wote.{supply=/> demand}.
4. Uwekezaji kwenye utafiti wa ukweli ufanyike ili kuwa na njia bora ya utekelezaji wa vipao mbele vya nchi kwa maslahi ya taifa na miradi isimamiwe kwelikweli,tuache utani wa kuchekeleana ila tuheshimiane.
5. Katiba ya nchi iwe ni msingi wa kusimamia rasilimali zake kwa faida ya watu wake wote kuzingata usemi usemao-''People who living in glass houses should not throw stones''.
Tafsiri isiyo rasmi ni kwamba ''SIYO VIZURI KURUSHIANA MAWE KWA WATU WAISHIO NYUMBA ZA VIOO''.
6.Viongozi wa kisiasa kuacha kutumia lugha za kiuchochezi,lugha ya kuudhi,kukatisha tamaa,lugha za kibabe-TUWE NA LUGHA YENYE STAHA ISIYO NA UKAKASI.
KIONGOZI WA NCHI APEWE NAFASI YA KUTIMIZA VIPAOMBELE VYAKE KWA WAKATI ILI ASIWE NA VISINGIZIO VINGINE.
1. Kusimamia sera ya kijamaa na kujitegemea ili kutumia ardhi yetu inavyopasa pamoja na rasilimali zingine.
2. Serikali na Taasisi zingine kutoa elimu kama huduma kwa jamii siyo biashara na serikali isimamie miongozo na sera kikamilifu ili kutoa elimu sawa kwa wote.
3. Serikali isimamie vizuri rasilimali za nchi kama utalii,madini,gesi,anga,bandari,uvuvi,mifugo na kilimo ili yote haya yawe na mchango mkubwa kwenye maeneo muhimu kwa nchi mf.maeneo ya huduma na biashara.Ili kila mtu ajenge nyumba bora lazima bei ya vifaa ya ujenzi ishuke na kuwa rafiki kwa watu wote.{supply=/> demand}.
4. Uwekezaji kwenye utafiti wa ukweli ufanyike ili kuwa na njia bora ya utekelezaji wa vipao mbele vya nchi kwa maslahi ya taifa na miradi isimamiwe kwelikweli,tuache utani wa kuchekeleana ila tuheshimiane.
5. Katiba ya nchi iwe ni msingi wa kusimamia rasilimali zake kwa faida ya watu wake wote kuzingata usemi usemao-''People who living in glass houses should not throw stones''.
Tafsiri isiyo rasmi ni kwamba ''SIYO VIZURI KURUSHIANA MAWE KWA WATU WAISHIO NYUMBA ZA VIOO''.
6.Viongozi wa kisiasa kuacha kutumia lugha za kiuchochezi,lugha ya kuudhi,kukatisha tamaa,lugha za kibabe-TUWE NA LUGHA YENYE STAHA ISIYO NA UKAKASI.
KIONGOZI WA NCHI APEWE NAFASI YA KUTIMIZA VIPAOMBELE VYAKE KWA WAKATI ILI ASIWE NA VISINGIZIO VINGINE.