Tanzania mpaka tufikia Uchumi wa Kenya sio leo wala Kesho

Kauli ya kuita watu mikenya ni kukosa nidhamu katika mjadala kama huu. Kila mtu ana haki ya kujieleza lakini usimuumbue mwenzako. Ameuliza swali na ungempa tu jibu ingefaa zaidi. Na sisi ni Wafrika mipaka yetu hatukuiamua, hatukushirikishwa wala kushauriwa Mwalimu baba wa taifa alikiri hili katika mojawapo ya hotuba zake. Ila tujiulize maswali nchi yetu imefikia kiwango cha kujitia viwanda. Miundo mbinu bado haikidhi mahitaji ya kimsingi usizungumzie viwanda. Mwanauchumi kwa jina la W.W Rostow aliorodhesha hatua za nchi kukua na katika hatua hizo tuko mbali sana na kilele chake. Ukipata nafasi ya kusafiri nchi nyingi utagundua kwamba mifumo yetu bado iko katika karne ya 20 ingawa tunatumia TEHAMA ya karne ya 21. Watu wengi hawapendi kujituma wanapenda kuwe na nyapara ndio wafanye kazi.... Tubadilishe mtazamo na mielekeo nchi itakuwa na uchumi utastawi
 
Kauli ya kuita watu mikenya ni kukosa nidhamu katika mjadala kama huu. Kila mtu ana haki ya kujieleza lakini usimuumbue mwenzako. Ameuliza swali na ungempa tu jibu ingefaa zaidi. Na sisi ni Wafrika mipaka yetu hatukuiamua, hatukushirikishwa wala kushauriwa Mwalimu baba wa taifa alikiri hili katika mojawapo ya hotuba zake. Ila tujiulize maswali nchi yetu imefikia kiwango cha kujitia viwanda. Miundo mbinu bado haikidhi mahitaji ya kimsingi usizungumzie viwanda. Mwanauchumi kwa jina la W.W Rostow aliorodhesha hatua za nchi kukua na katika hatua hizo tuko mbali sana na kilele chake. Ukipata nafasi ya kusafiri nchi nyingi utagundua kwamba mifumo yetu bado iko katika karne ya 20 ingawa tunatumia TEHAMA ya karne ya 21. Watu wengi hawapendi kujituma wanapenda kuwe na nyapara ndio wafanye kazi.... Tubadilishe mtazamo na mielekeo nchi itakuwa na uchumi utastawi

Watanzania hicho ndo tunacho weza kutukana,
 
Mkuu weka figures hapa, viwanda vingi ambavyo unaongelea vinamilikiwa na nani? Twende kwa figures ..... .

Mkuu Wacha1 kwa idadi ya viwanda Kenya hatuwafikii hata mf tu sisi hata cha matairi ya baiskl hatuna wao wana vya matairi ya magari! suala la umiliki liko wazi kwenye ubepari mabepari ndo wanamiliki uchumi! kwani hata hapa katika ile orodha iliyotembea hapo si alikuwepo Mengi na Mufuruki! then waliobaki wahindi na waarabu! na then Mufuruki sijui hata ana viwanda gani!

Tukubali tukatae Tz kuwa nchi ya uchumi wa kati na uchumi huo kugusa walio wengi itachukua muda mrefu maana tukumbuke tunazungumzia kunyang'anya/kuteka masoko ya watu!!!!!!!! hivi wao watakubali kirahis eti leo hii unilever aone soko lake la Tz linapotea atakubal kirahis tu!!!!!!!!!
 
Mkuu Wacha1 kwa idadi ya viwanda Kenya hatuwafikii hata mf tu sisi hata cha matairi ya baiskl hatuna wao wana vya matairi ya magari! suala la umiliki liko wazi kwenye ubepari mabepari ndo wanamiliki uchumi! kwani hata hapa katika ile orodha iliyotembea hapo si alikuwepo Mengi na Mufuruki! then waliobaki wahindi na waarabu! na then Mufuruki sijui hata ana viwanda gani!

Tukubali tukatae Tz kuwa nchi ya uchumi wa kati na uchumi huo kugusa walio wengi itachukua muda mrefu maana tukumbuke tunazungumzia kunyang'anya/kuteka masoko ya watu!!!!!!!! hivi wao watakubali kirahis eti leo hii unilever aone soko lake la Tz linapotea atakubal kirahis tu!!!!!!!!!

Unakumbuka viwanda vyetu vingi vilikufa kwa soko la viwanda vya Kenya. Hujuma ya Manyang'au haikuanza jana. JPM sasa kazi tu tutaona na hili soko wanalolitegemea itabidi lile kwao. Stay tuned, I really hate nyang'aus ambao wanakubali ukuwadi wa wazungu kuwadidimiza waafrika wenzao.

Wacha waweke figures hapa kama wanazo then anapoondoka JPM 2025 tuone.
 
dah! Tucmvunje moyo raisi wetu jaman bali tumtie moyo kwa maono yake mazur kuhusu TANZANIA ya kesho, one love nyote ndo hayo tu kwa leo.
 
Mleta mada ana chuki na nchi yetu. Sidhani kama ni mtanzania. Kama n mtanzania basi hajielewi.

Lugha aliyoitumia siyo nzuri. Ametutukana watanzania. Ana chuki binafsi.

Amekimbilia kutaja China kama reference. Hakuna sehemu alipotaja Kenya licha ya kichwa cha habari kuitaja Kenya.

Hatukatai kulinganisha uchumi Wa nchi yetu na nyingine lkn siyo kwa mtindo huu Wa kututukana na kutudhalilisha.

Wakenya na majirani wengine wanaotupiga vita hasa Rwanda, watambue kuwa Tanzania itaendelea kwa kasi kiuchumi licha ya fitna zao.

Tumepata rais mchapakazi. Tofauti za kisiasa tumeziweka pembeni. Mungu atatusaidia
 
Sawa lakini tunahitaji ku move kama sisi hata hatua hizo chache na kama hizo ambazo tayari Rais ameanza

Natumaini atakugusa kila angle
 
weka takwimu mkuu, maneno tu hayatoshi. Tunaowasomi nyanja zote, business admin, marketing strategies, financial mgt, soko kwa tanzania tu inajumla ya watu 50 plus million, hapa ishu ni ufuataji wa sheria , vyombo vyenye dhamana kusimamia haki kwa wote bila kubagua, kudhibiti corruption, uongozi bora...etc matokeo utayaona tu.
 
Unakumbuka viwanda vyetu vingi vilikufa kwa soko la viwanda vya Kenya. Hujuma ya Manyang'au haikuanza jana. JPM sasa kazi tu tutaona na hili soko wanalolitegemea itabidi lile kwao. Stay tuned, I really hate nyang'aus ambao wanakubali ukuwadi wa wazungu kuwadidimiza waafrika wenzao.

Wacha waweke figures hapa kama wanazo then anapoondoka JPM 2025 tuone.

Anyway mi namuombea kila la heri JPM ila najua kwa dunia ya sasa yenye ushindani ni bora twende kwa step zinazoeleweka maana nasi tuna program kibao za maendeleo kilimo kwanza, brn, mkukuta, mkurabita, mabilioni ya jk, milioni 50 kila kijiji, hivi kwa nini tusistiki wenye vitu vichache tujikite hapo kiasi ya kwamba soko la ndani/nje ikawa tumelikamata kisawasawa. Hivi leo hii kuna kampuni za ulinzi toka china, south africa, kenya wanataka soko hilihili Mungu anipe uhai mrefu nione jinsi viwanda vitakavyokuwa vimetapakaaaa
 
Ili uongee kama unaejua ungeweka takwimu
je uchumi wa Kenya ni gdp ngapi? gnp?

Wa tanzania je?
kasi ya ukuaji ikoje?

Mbona kuna industry nyingi tu tumeshaipita kenya?

Ni wazi huyu jamaa siyo raia, au ni "raia kwa kuomba"

It is not important to be better than someone else, but to be better than yesterday
 
Back
Top Bottom