ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,772
Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB imezitaka Tanzania na Kenya kusaini mikataba mitatu ya Mauziano ya umeme haraka Kufuatia kukamilika Kwa mradi wa kuunganisha gridi ya Nchi hizo mbili ambao umefadhiliwa na African Development Bank.
View: https://www.instagram.com/p/C27F55go1Cz/?igsh=emo4eGo4cDQ3d3li
My Take
Kenya wangekuwa wameunganisha grid Yao na Ethiopia,shida za upungufu wa umeme tunazopta saizi zisingekuwepo.
View: https://twitter.com/AnnaSarungi/status/1754377316749209705?t=Uimk5QmmxAVczvqTICrptQ&s=19
View: https://www.instagram.com/p/C27F55go1Cz/?igsh=emo4eGo4cDQ3d3li
My Take
Kenya wangekuwa wameunganisha grid Yao na Ethiopia,shida za upungufu wa umeme tunazopta saizi zisingekuwepo.
View: https://twitter.com/AnnaSarungi/status/1754377316749209705?t=Uimk5QmmxAVczvqTICrptQ&s=19