Wakati Ethiopia wana 787 dream liner 4 na 52 mchanganyiko wa air bus na boeing za kutosha,,sisi tunakuna Nazi tuu, Ndege zinataka usimamizi wa hali ya juu sana,nadhani hata tungekua na Ndege zipo baadhi ya Nchi zingepigwa ban kwa sababu ya UNGA maana wangeficha hadi ktk engine kama watanzania tuu ndio wanameza iyo ingekua rahisi tuu.