Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,176
- 6,208
Nani atamfunga paka kengele, Tanzania kila mtu anamlaumu mwenzake
- Wanasiasa wanalaumu mabeberu
- Wananchi wanalaumu wanasiasa
- Wanaharakati wanawalaumu wanalaumu
- Polisi wanasema ni maelekezo kutoka juu
- Wananchi wanalaumu wanaharakati kwamba hawafanyii harakati zao Tanzania, wakija Tanzania wakikamatwa wanalaumiwa ni wajinga
- Vyombo vya ulinzi wanasema wanafuata maelekezo sio maamuzi yao
- Wazee wanalaumu vijana wanasahau hao ni watoto wao
- Watumishi wa Mungu wanamlaumu Mungu kwa mambo yanayoendelea
- Manabii wanabadilika kama vinyonga kila siku hawajui wasimamie kipi
- Waislamu wanalaumu kila Rais akiwa muislamu mashambulizi yanakuwa mengi