101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
Nimeona story ITV wakazi wa Upanga wanalia na popo.
Wakazi wa Mtaa wa Sea View Upanga, Jijini Dar es Salaam, wamesema kumekuwa na ongezeko la popo katika eneo hilo hali ambayo wamedai inasababisha adha kwa wakazi wanaoishi kwenye eneo hilo.
.
Wakizungumza na ITV wakazi wa eneo hilo, wamesema licha ya watu wa maliasili kuja na kupuliza dawa lakini popo hawajaondoka.
Pale maeneo ya Palm Beach hadi Makao Makuu ya CRDB pamejaa popo. Unaweza kuhisi mti umekauka kumbe popo. Hii Nchi ina kila eneo wakazi wake wana kilio chao tofauti!
Wakazi wa Mtaa wa Sea View Upanga, Jijini Dar es Salaam, wamesema kumekuwa na ongezeko la popo katika eneo hilo hali ambayo wamedai inasababisha adha kwa wakazi wanaoishi kwenye eneo hilo.
.
Wakizungumza na ITV wakazi wa eneo hilo, wamesema licha ya watu wa maliasili kuja na kupuliza dawa lakini popo hawajaondoka.
Pale maeneo ya Palm Beach hadi Makao Makuu ya CRDB pamejaa popo. Unaweza kuhisi mti umekauka kumbe popo. Hii Nchi ina kila eneo wakazi wake wana kilio chao tofauti!