Tanzania KASKAZINI kudai uhuru baada ya 2015

Tanzania KASKAZINI kudai uhuru baada ya 2015

Status
Not open for further replies.

JFKAMANDA

Senior Member
Joined
Sep 1, 2013
Posts
122
Reaction score
45
Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania popote mlipo.
=>Mimi si mwanasiasa wala muumini wa chama chochote Tanzania.
Leo nataka niwaambieni kuwa Tanzania KASKAZINI tunaonewa sana ni kama Tanzania kusini wametusahau vile.
=>Mikoa ya Arusha,Moshi Manyara na Tanga nikama si Tanzania.
=> Ukichunguza uchumi wa Tanzania 85% unazalishwa ktk mikoa hii minne yaani Tanzania KASKAZINI.
kupitia kilimo cha mkongo Tanga
Utalii Arusha na Killimanjaro.
Pia kilimo kikubwa cha mazao ya biashara na chakula Arusha.
=> Manyara utalii wa kutosha na hifathi za Taifa.
=>Lakini mpaka leo Mikoa haya minne ipo nyuma kuliko mikoa mingine yote Tanzania.
Kwanini Dar es salaam iendelee kuliko Arusha Tanga Killimanjaro na Tanga. Dar wanalima nini? Wanahifathi gani? Kuna kiwanda gani?
=>Dar kote umeme mpaka kwenye SLUMS lakini Arusha Hospitali ya Wilaya haina Umeme wa uhakika.
=>Arusha soko kubwa mji mkubwa kama Donyosambu hawajui nini kinaitwa umeme.
Usiulizie vijijini kuanzia Vijiji za Ngaramtoni mpaka Namanga Kilomita 200 hakuna kijiji hata kimoja chenye umeme.
=>Manyara hata mjini hakuna maji,umeme wakulenga na manati.
=>Barabara usiulize maana hapa kwetu ukinunua gari utatafuta parking Ngaramtoni ilipobarabara ya East Afrika utembee kwa mguu km 30 kuingia kijijini.

Maoni Yangu

Tunachotaka kama 2015 uchaguzi mkuu Rais atokee KASKAZINI ama la sivyo Tanzania KASKAZINI tutadai uhuru wetu.

Kama nimekukera potezea.
 
Mimi ni mwana-kaskazini lakini sina haya malalamiko, I think wewe unawaza ki-majimbo zaidi
 
Kwa mujibu wa sheria za nchi hii wewe ni MUHAINI na unatakiwa udhibitiwe haraka sana.
 
mwl. nyerere wanaozungumza ukabila ni waendazimu na waliofilisika we hujaridhika na u div 5 unataka uendawazimu
 
Hii thread nahisi itafungwa muda si mrefu...la hasha nitarudi kuijadili baadaye nikiwa na muda
 
Wewe, hivi huwa husomi takwimu za kimikoa inavyochangia pato la taifa?

1. Dar es Salaam
2. Mwanza
3. Mbeya

Hebu chezesha ubongo wako kijiografia uone umbali wa majiji hayo matatu, changanya na ukaskazini wako.

Hebu someni jamani na sio kukurupushwa tu juu ya eti kujitenga kisa "uchumi".
 
Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania popote mlipo.
=>Mimi si mwanasiasa wala muumini wa chama chochote Tanzania.
Leo nataka niwaambieni kuwa Tanzania KASKAZINI tunaonewa sana ni kama Tanzania kusini wametusahau vile.
=>Mikoa ya Arusha,Moshi Manyara na Tanga nikama si Tanzania.
=> Ukichunguza uchumi wa Tanzania 85% unazalishwa ktk mikoa hii minne yaani Tanzania KASKAZINI.
kupitia kilimo cha mkongo Tanga
Utalii Arusha na Killimanjaro.
Pia kilimo kikubwa cha mazao ya biashara na chakula Arusha.
=> Manyara utalii wa kutosha na hifathi za Taifa.
=>Lakini mpaka leo Mikoa haya minne ipo nyuma kuliko mikoa mingine yote Tanzania.
Kwanini Dar es salaam iendelee kuliko Arusha Tanga Killimanjaro na Tanga. Dar wanalima nini? Wanahifathi gani? Kuna kiwanda gani?
=>Dar kote umeme mpaka kwenye SLUMS lakini Arusha Hospitali ya Wilaya haina Umeme wa uhakika.
=>Arusha soko kubwa mji mkubwa kama Donyosambu hawajui nini kinaitwa umeme.
Usiulizie vijijini kuanzia Vijiji za Ngaramtoni mpaka Namanga Kilomita 200 hakuna kijiji hata kimoja chenye umeme.
=>Manyara hata mjini hakuna maji,umeme wakulenga na manati.
=>Barabara usiulize maana hapa kwetu ukinunua gari utatafuta parking Ngaramtoni ilipobarabara ya East Afrika utembee kwa mguu km 30 kuingia kijijini.

Maoni Yangu

Tunachotaka kama 2015 uchaguzi mkuu Rais atokee KASKAZINI ama la sivyo Tanzania KASKAZINI tutadai uhuru wetu.

Kama nimekukera potezea.

Ma------ yako..
 
Kama uko kwenye mapori ya Katesh sawa,lakini huku Arusha mjini hatuelewi hata umeandika nini!
 
Acha kulalamika ndugu. Raisi akitoka kaskazini ndoo kutakuwa na maendeleo? Acheni kutuvuruga bana
 
Ama kweli mla kunde anasahau lakini mtupa maganda hasahau hata kidogo. Labda wewe hujawahi kuzunguka Tanzania nzima ukajionea hali halisi ya nchi ilivyo, unadhani kwako kunaungua kumbe kwa wenzako kumeteketea siku nyingi. Kama unataka Raisi atoke kanda ya kasikazini bila kujali uwezo na utimilifu wake basi gombea hata wewe ili uweke lami mpaka njia za kuendea chooni.
 
Ainisha madai yako ndugu,
Unataka rais atoke kaskazini?
Mbona Leodgar Tenga ni wa kaskazini hujaridhika?
 
Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania popote mlipo.
=>Mimi si mwanasiasa wala muumini wa chama chochote Tanzania.
Leo nataka niwaambieni kuwa Tanzania KASKAZINI tunaonewa sana ni kama Tanzania kusini wametusahau vile.
=>Mikoa ya Arusha,Moshi Manyara na Tanga nikama si Tanzania.
=> Ukichunguza uchumi wa Tanzania 85% unazalishwa ktk mikoa hii minne yaani Tanzania KASKAZINI.
kupitia kilimo cha mkongo Tanga
Utalii Arusha na Killimanjaro.
Pia kilimo kikubwa cha mazao ya biashara na chakula Arusha.
=> Manyara utalii wa kutosha na hifathi za Taifa.
=>Lakini mpaka leo Mikoa haya minne ipo nyuma kuliko mikoa mingine yote Tanzania.
Kwanini Dar es salaam iendelee kuliko Arusha Tanga Killimanjaro na Tanga. Dar wanalima nini? Wanahifathi gani? Kuna kiwanda gani?
=>Dar kote umeme mpaka kwenye SLUMS lakini Arusha Hospitali ya Wilaya haina Umeme wa uhakika.
=>Arusha soko kubwa mji mkubwa kama Donyosambu hawajui nini kinaitwa umeme.
Usiulizie vijijini kuanzia Vijiji za Ngaramtoni mpaka Namanga Kilomita 200 hakuna kijiji hata kimoja chenye umeme.
=>Manyara hata mjini hakuna maji,umeme wakulenga na manati.
=>Barabara usiulize maana hapa kwetu ukinunua gari utatafuta parking Ngaramtoni ilipobarabara ya East Afrika utembee kwa mguu km 30 kuingia kijijini.

Maoni Yangu

Tunachotaka kama 2015 uchaguzi mkuu Rais atokee KASKAZINI ama la sivyo Tanzania KASKAZINI tutadai uhuru wetu.

Kama nimekukera potezea.
Mods- Thread za kichochezi kama hizi zinapaswa kuondolewa!
 
God iz gudo. Muziki wa mamlaka kamili unazidi kupanda chati.
 
sasa nyinyi wa kaskazini with all the resources you have @ hand mnaanza kufikiria kujitenga;though haitakuja tokea,na wamakonde kule kusini watasamaje?acheni hizo nyinyi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom