Tukikubaliana na hili inabidi Mbeya nao wadai uhuru wao kwa kuwa wana vitega uchumi anuai ambavyo seem vinafaidisha wengine. Watakutajia border mbili ya Tunduma na Kyela,Watakuambia wanavua samaki ziwa Nyasa,Wana makaa ya mawe kiwira huko,wana Reli,uwanja wa ndege wa Songwe na Mwanjelwa...kanda ya ziwa as well...Nadhani hatujafika huko!
Straight Jacket Pleeeeeaseeeeeeeee.........