Brazil wananchi wanaandamana kujengwa kwa viwanja vya mpira sababu ya uchumi wao utauwa wananchi wao Mapato watafaidika wengine Kabisa, na Wachezaji mpira wanaandamana kalenda zibadilishwe chama cha mpira nao kidogo wanaendana na wananchi migomo Yao na wanadai viingilio vimekuwa vikubwa mpaka mashabiki hawafiki tena uwanjani. Tanzania je tungepewa kujenga viwanja kwa mashindano ya kombe la Africa tu, uchumi wa kuvijenga ukawa unauwa uchumi wa nchi na viwanja bei juu sana Kama tunavyoona ikija Brazil. Mtu ananyima familia kula kwenda kumuona Kaka! Tanzania kweli tungejali wananchi wenzetu wanaoumia? Au tungejijali nafsi zetu?