KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Wanafunzi wamekuwa wakigoma kuonyesha udhalimu wa serikali na viongozi wake.sasa nimefurahi kuona hata jumuiya ya wafanyakazi waajiriwa wamelianzisha .huu ndo mwanzo wa mwisho wa umasikini wa kimawazo ya woga.asanteni sana mdakitari wengine mnaogopa nini?