tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,307
Mwanafunzi wa Shigongo yuko field.
Mwanaume wa kweli huwa hashauliwi vitu kama hivyo, angekuwa ameshafika huko alipo hiyo majeruhi.Hakuna wakati mzuri Wa kumfariji mtu kama wakati Wa shida,usimtumie hiyo laki mbili Bali panda gari nenda kamuone hali yake, kitendo cha kwenda tu ni zaidi ya Million maana utakua umeonyesha uungwana Wa hali ya juu
Kwahiyo nesi alikuepo eneo la tukio maana amekutumia hadi pichakatumia simu ya nesi anaemuuguza
Kwani huwa mnalazimishwa kutoa?Swadakta Colietha yaani nyinyi ni sheeeda tena balaaa hasaaa hatuendelei kwa sababu yenu
yuko mbali...
Mmefunzwa wapi kuomba ombaKwani huwa mnalazimishwa kutoa?
mhi hii habari mi naona haijaliliwakatumia simu ya nesi anaemuuguza
maneno makal walah!..... kafara....maiti uuh!Ndiyo mnaomba pesa mno, utadhani mizimu inadai kafara..!
Kuna kigori mpya nimempata shida anapenda starehe huyo kila kitu kubebwa km maiti.
Si umesema ulikuwa ukimpigia anakuambia subiria kidogo aukatumia simu ya nesi anaemuuguza
acha kukasirika sasa!mkuu umepoteza bure ushauri wako japo haukuwa na gharama huyu mwongo huyu hakuna haja ya kushirk uongo wake .
Hahaha..! pole sikujua km ni mazito hivyo...! Neno maiti huwa napenda kutania watu kuwa unapenda starehe km maiti maana maiti ukiambia simama,kaa, au tembea inakunyamazia tu ili kila kitu uifanyie na inapenda kubebwa hiyomaneno makal walah!..... kafara....maiti uuh!
Wanakuambia ukiwa muongo usiwe msahaulifukama kapoteza simu zake zote we umewasiliana nae vp toka ha na urongo wako
sijapanic....sema kuna kamshtuko nimepata baada ya kujarib kuvaa uhusika wa dada anaesemwaHahaha..! pole sikujua km ni mazito hivyo...! Neno maiti huwa napenda kutania watu kuwa unapenda starehe km maiti maana maiti ukiambia simama,kaa, au tembea inakunyamazia tu ili kila kitu uifanyie na inapenda kubebwa hiyo
Mizimu kiroho ni kati ya roho ving'ang'anizi ikitaka kafara lazima uipatie lasivyo kama huna kinga iwe ya kiganga au ya ki-Mungu lazim as ukudeal.
Sorry naona umepanic sana.
Wanakuambia ukiwa muongo usiwe msahaulifu
Bwege sana huyu mshikaji
Hapana nilikuwa nataniani na mdada mmoja hapo juuu..! Just kidding.sijapanic....sema kuna kamshtuko nimepata baada ya kujarib kuvaa uhusika wa dada anaesemwa