Tanzania ingekua na wanawake 10 kama huyu tungesonga mbele kimaendeleo.

daaa kapata ajali,then kapoteza phone na pesa halafu bdae kakutimia pic za ajal mh how sasa hiz pic alikoztoa au kuna mtu alikuwa anaphotoa mwanzo hadi mwisho wa tukio cjapat connection hapa aisee
 
wakubwa,heri ya jumapili?
kuna binti kanistaajabisha sana, huyu binti Nina uhusiano naye wa kama miezi minne hivi, sasa juzi alikuwa anasafiri kuelekea kituo Chake cha kazi Bahati mbaya gari walilokuwa wanasafiria likapata Ajali na yeye binafsi akawa ni miongon Mwa majeruhi.

Toka siku ya tukio nilikua nikimpigia simu alikua ananiambia kuwa nisubiri kidogo atanipigia hali iliyopelekea mimi nihisi labda yuko kwa mchepuko, Leo kanitafuta ndo ananieleza situation nzima ilivyokua na amenitumia picha akiwa hospital na picha ya gari ilivyobondeka...ananiambia hakutaka kunipa presha siku Ile.

Katika Ajali kapoteza pesa zake zote, simu na vitu vingine. So mimi kama mpenzi wake nimemuuliza nimtumie sh. ngapi ili kusaidia mahitaji yake ila amekataa hata senti yangu, nimembembeleza walau Nimtumie laki mbili basi hata Anunue simu nyingine amekataa badala yake ameniambia hiyo laki mbili niweke akiba

So nimemtafakari nimeona taifa letu lingekua na wanawake kumi kama huyu nadhani saivi tungekua tumewaacha mbali sana USA kimaendeleo.
Hakuna kitu kama hicho, nilitaka kudhani kakudanganya kumbe umetunga. Haya mpelekee shigongo
 
Hii ni story ya kutungwa japo mtunzi kuna mambo ya msingi hakuyafikiria (picha, simu nk)
Labla tuichukulie kama hadithi halafu tujiulize; Hadithi hii inatufundisha nini?
1. Wanawake wajifunze kujitegemea
2. Wanawake wajifunze kuwa wajasiri
3. wanawake wajifunze kuwa na huruma kwa wapenzi wao hasa pale wanapo ona mifuko yao haipo vizuri
 
Hii ni story ya kutungwa japo mtunzi kuna mambo ya msingi hakuyafikiria (picha, simu nk)
Labla tuichukulie kama hadithi halafu tujiulize; Hadithi hii inatufundisha nini?
1. Wanawake wajifunze kujitegemea
2. Wanawake wajifunze kuwa wajasiri
3. wanawake wajifunze kuwa na huruma kwa wapenzi wao hasa pale wanapo ona mifuko yao haipo vizuri

1.tutakuwa tunapingana na nature.
2.ni wajasiri kuliko unavyofikiria.
3.mifuko ya mwanaume haitakiwi kuwa vibaya.
 
wakubwa,heri ya jumapili?
kuna binti kanistaajabisha sana, huyu binti Nina uhusiano naye wa kama miezi minne hivi, sasa juzi alikuwa anasafiri kuelekea kituo Chake cha kazi Bahati mbaya gari walilokuwa wanasafiria likapata Ajali na yeye binafsi akawa ni miongon Mwa majeruhi.

Toka siku ya tukio nilikua nikimpigia simu alikua ananiambia kuwa nisubiri kidogo atanipigia hali iliyopelekea mimi nihisi labda yuko kwa mchepuko, Leo kanitafuta ndo ananieleza situation nzima ilivyokua na amenitumia picha akiwa hospital na picha ya gari ilivyobondeka...ananiambia hakutaka kunipa presha siku Ile.

Katika Ajali kapoteza pesa zake zote, simu na vitu vingine. So mimi kama mpenzi wake nimemuuliza nimtumie sh. ngapi ili kusaidia mahitaji yake ila amekataa hata senti yangu, nimembembeleza walau Nimtumie laki mbili basi hata Anunue simu nyingine amekataa badala yake ameniambia hiyo laki mbili niweke akiba

So nimemtafakari nimeona taifa letu lingekua na wanawake kumi kama huyu nadhani saivi tungekua tumewaacha mbali sana USA kimaendeleo.
Kwa hiyo kipimo cha maendeleo kwa wanawake ndo hichi?
Kwetu bado tuna safari ndefu sana
 
Mkuu huyo Wahi kabla hajapuruchuka! Idadi nilyopewa wasichana wa hivyo walibaki 88 Tu nchi nzima......kwa hiyo watabaki 87, Halafu naomba unipe namba ya Rafiki yake nijaribu bahati yangu!
 
Na wew unatakiwa ujiongeze kumsaidia sio kumhonga kama ivyo kapata shida inahtajika umsaidie pesa kidogo kwanza usimuulize wew mtumie tu atafurah
 
Bro naona umekuja na gear ya kutaka madada wa umu wajue una pesa za kuwapa pind wanamatatizo..hope umesha pata PM za kutosha...Enjoy za weekend...idea nzur ila ifanyie Editing hisiwe na maswali mengi.
Huyu anataka hata akija PM akijifanya kusaidia tukatae. Ajidanganye tu ila wanawake tunapenda kupewa.
 
Badala ya wewe kwenda unakazana kutuma vitu ndio maana anakuona ndez unaona bora vitu kuliko kwenda kuwa nae Karibu
 
Sio swala la kuuliza eti nikupe sh ngapi za kukusaidia , ulitakiwa ufanye kitu kwa ajili yake unapokwenda kumuona na hakika angefarijika sana. We unaleta habari za kuulizana hapa? Be a man aisee.
 
Back
Top Bottom