Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,560
Uyu jamaa ana uongo wa kitoto Mara nilikuwa nampigia simu.
Mara simu zake zote ziliibiwa
Mara kanitupia picha
Mara simu zake zote ziliibiwa
Mara kanitupia picha
Tena dume kabisa la kukuimbisha weweHahaha watu kwa fixxxxxx hahahq yaani mtu anakaaa kutunga ili ajibiwe haha
Iyo picha ya bashinte na ilo swali lako mmejikuta nacheka sanaaakama kapoteza simu zake zote we umewasiliana nae vp toka ha na urongo wako
Wewe unaonaje? Watu wanaiba,wanakaba,wanatapeli ili kuwaridhisha wanawake.we kyagata wewe kwahiyo unataka kusema sisi ndo tunarudisha Tanzania nyuma sio?
tungekua na inteleginsia kama yako nchi hii ingekua mbali ki usalama kuliko hata USAUnasema simu zake zote zilipotea,na umesema amekutumia picha ya gari zilivyopondeka,je hizo picha za gari zilivyopondeka kazitoa wapi na simu zilipotea. Jipange
kwani wametumwa, si wametaka wenyewe.Wewe unaonaje? Watu wanaiba,wanakaba,wanatapeli ili kuwaridhisha wanawake.
Bongo movie huyuuukama kapoteza simu zake zote we umewasiliana nae vp toka ha na urongo wako
Kwa mrembo kama wewe wengine wanakuwa watumwa.kwani wametumwa, si wametaka wenyewe.
na mganga au?Kwa mrembo kama wewe wengine wanakuwa watumwa.
Na wewe.na mganga au?
Siumesema kila ukimpigia anakwambia ntakupigia, je ulipokuwa unamtafuta ulipiga namba IPI?katumia simu ya nesi anaemuuguza
kama kapoteza simu zake zote we umewasiliana nae vp toka ha na urongo wako
Hahahaaaaa!! Labda nesi nae alikuwa kwenye ajali.Unasema simu zake zote zilipotea,na umesema amekutumia picha ya gari zilivyopondeka,je hizo picha za gari zilivyopondeka kazitoa wapi na simu zilipotea. Jipange
Ndiyo mnaomba pesa mno, utadhani mizimu inadai kafara..!
Kuna kigori mpya nimempata shida anapenda starehe huyo kila kitu kubebwa km maiti.