mchakachuaji
Member
- Aug 12, 2010
- 58
- 7
Uzalishaji una gharama kubwa kwa sasa.
We Mhoja usiye na hoja uliemkimbia Gadafi unataka kuleta maafa huku BONGO NA HOJA ZAKO?
Uzalishaji una gharama kubwa kwa sasa.
Hivi Waziri Mkuu alifikiria nini kuifananisha gizaland a.k.a rushwa land na Ujerumani? Yaani wajerumani wakoimsikia wanaweza kukata kabisa misaadaHala fu kuna mwingine eti anadai Tanzagiza is like the Germany of Africa! Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa