Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 950
- 2,866
Hivi ndivyo mkoloni alivyofanya,aliiba maliasili za Tanzania na kuzipeleka kwao Ulaya,sasa hivi Watanzania tunafanya wenyewe,tunaiibia Tanzania tunapeleka Ulaya,mambo kidigitally mzungu katulia tu Ulaya,wabongo wanaaiibia nchi yao wanapeleka Ulaya,kwa ufupi Tanzania inaibiwa 70% ya mtaji wake,maliasili na fedha zinapelekwa Ulaya,Asia na Uarabuni.