Ulishawahi kuwepo wakati Mrema ni kiongozi? Ulishawahi kusikia historia ya Sokoine,usifananishe na viongozi wanaopiga domo bila vitendo,Chalamira yule ni chawa anakili za CCM leo hii akifukuzwa hana uwezo wa kwenda popote pale na hicho ndiyo kipimo cha kiongoziNi msema kweli, nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Sio habari ya kupapasa kisiasa kunakodumaza taasisi za umma.
Makonda hafai kuwa hata mkuu wa wilaya au kiongozi kwa ujumla
Chalamila na chawa mnajitahidi kusafisha kisichosafishika, that crazy goon hafai hata kuongoza mtaa.Ni msema kweli, nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Sio habari ya kupapasa kisiasa kunakodumaza taasisi za umma.
Huyo naye ni mwanasiasa....kuna pahala hizo sifa ulizommwagia utazipindua CHALI.....Ni msema kweli, nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Sio habari ya kupapasa kisiasa kunakodumaza taasisi za umma.