Tanzania inafanya kile kinachofanywa na raia wa Afrika Kusini kwa Waafrika wenzao kutoka Mataifa mengine

Position za juu zote wapewe Watanzania , so Wakenya, Wazungu, Wahindi au Waarabu ili iwe rahisi kwa Serikali kuchukua maamuzi na kupata taarifa sahihi za kampuni na mapato, mbali na hilo tutakuwa tuna create billionaires wengi wa kitanzania kiasi kwamba hata wakiacha ajira hijo wataanzisha makampuni na kuajili watanzania wengine.
 
Wakenya kabla na baada ya uhuru watanzania tumejitahidi kuishi nao kwa upendo mkubwa, lakini wenzetu imekuwa kinyume chake mara zote mfano kenyata alimsapoti sana Amini, wakenya waliitangazia dunia tanzania kuna korona, wakenya wamehujumu soko letu la nje la asali ili wanunue wao kwa be ya kilanguzi, wakenya walihujumu viwanda vyetu vya general tyre, maziwa na viatu ili wapate raw materials na soko kwetu, wakenya kila kukicha wanatuhujumu kwa kutangazia watalii mlima kilimanjaro, zanzibar na serengeti vipo kwao, wakenya wanatuhujumu kwa kuzuia bidhaa zetu kuingia kwao bila sababu ya msingi, lakini wao wanataka waingize, WAKENYA HAWABEBEKI,
 
Na watanzania kibao wako Kenya wanafanya kazi. Ukiwa una apply working permit Kenya hadi desk la immigration wanakupa huku wanakusimanga "jirani permit tayari chukua iko tayari ila nyie mnafukuza ndugu zetu hamwapatii permit sisi hatuna roho mbaya"

Wakenya wanakumbatia waafrika wenzao katika kazi tena zaidi EA kuliko nchi zingine. Na permit za kazi kama wewe ni East Africa kule kwao ni "Gratis" una sifa zote fasta tu
 
"Nchi majirani watambue, ushindani wa kibiashara sio vita" Uhuru Kenyatta.

Ilichofanya Tanzania ni sehemu ya ushindani.

BTW, Kuna CEO's wangapi wa Tanzania kwenye makampuni ya Kenya?
Wapo wengi mkuu, kuanzia multi choice, madaktari, nurses, experts wa finance na accounts, admin,
 
Na watanzania kibao wako Kenya wanafanya kazi. Ukiwa una apply working permit Kenya hadi desk la immigration wanakupa huku wanakusimanga "jirani permit tayari chukua iko tayari ila nyie mnafukuza ndugu zetu hamwapatii permit sisi hatuna roho mbaya"

Wakenya wanakumbatia waafrika wenzao katika kazi tena zaidi EA kuliko nchi zingine. Na permit za kazi kama wewe ni East Africa kule kwao ni "Gratis" una sifa zote fasta tu
Ile kauli ya Jaguar Mbunge wa kitaifa ilitoka wapi, yale ni matokeo ya Ubaguzi wa muda mrefu uliokuwa unafanywa kimya kimya na Wakenya.
 
Adui ya Mwafrika ni Mwafrika mwenyewe. Jana tu nilikuwa naongea na dogo ninamwambia Muungano wa Afrika Mashariki ni wakinafiki hauwezi kufika kokote. Waafrika hatuwezi kuungana kamwe. Makubaliano uwa ni kwenye makaratasi. Mtu anafurahi kuwa mtumwa wa mzungu lakini siyo wa Mwafrika.
 
Wachina wamejaa kila mahali, hadi wanalima na kuuza mchicha, wanabeba mizigo kkoo, wanafanya biashara ndogo ndogo!!!
 
WAMEMPOKEA LEMA ILI KUIAMINISHA DUNIA NA WATALII KUWA TANZANIA SIYO SALAMA
Wiki kamasita nyuma niliitwa Mt. Kilimanjaro kufanya kazi fulani hivi, kilikuwa kipindi cha kuzima moto. Actual watalii walikuwa wanapanda kama kawaida na hakukuwa na hatari yoyote kwa watalii. Ila media za kenya zilivumisha dunia mzima kuwa K'njaro inaungua na imefungwa coz sio salama. Wapandisha mizigo na makampuni yetu walikosa wateja kwa kiasi kikubwa.
So jamaa sio marafiki zetu kabisa, ni maadui.
 
Unamaanisha hakuna Wakenya walioruhusiwa kufanya kazi TZ? Au hakuna hao unaoita 'wazungu' walionyimwa vibali vya kufanya kazi TZ? Inaelekea huna taarifa za kutosha kutetea hoja yako.

Kupunguza hujuma za kibiashara kuna baadhi ya nafasi za kazi ni salama zaidi kupewa raia wa mbali huko maana ni rahisi kumdhibiti kuliko Mkenya. Fuatilia historia ya kufa kiwanda cha matairi (General Tire) Arusha, na changamoto za baadhi makampuni ya vinywaji hasa bia nchini.
Naona unafikiri kinyume nyume
 
Back
Top Bottom