Tofauti ipo hapa,Wazungu,wahindi,Waarabu wakija,wanachukua kazi zetu,wanatulipa kiduchu,sawa,lakini kampuni inaendelea kuwepo,Richa ya kutulipa wazawa kiduchu
Wakenya,wakija,ukawapa ukurugenzi,Cha Kwanza ni kuihujumu kampuni kwa ndani mpaka Ife,hata vile vimishahara vidogo havitakuwepo,Then kampuni inakufa,bidhaa zilizokuwa zinazalishwa,zinaanza kuagizwa kutoka Kenya,Wakenya wengi wanaokuja kuwa bongo ni maspy,mashushushu wa kiuchumi,wanatumwa waangamize uchumi wetu,sisi hatushindani na India,au UK,au SA kiuchumi,ila Hawa Kenya,tunavita nao,Ebu fikiria Mchina aajiriwe Microsoft,au google,General motor ,au MacDonald,kule USA Kama CEO!FBI,CIA,Homeland security,State deaprtment,secret service zote zitapinga kabisa Hilo Swala.