Tanzania imezizima, dunia imetaharuki kwa kuwa Magufuli alifanya yale wanadamu waliyotarajia kama kiongozi. Je, yupo atakayeweza kuvaa viatu vyake?

Magufuli alionyesha utofauti kama kiongozi tangu mwanzo wa safari yake ya uongozi na siasa.Katika ngazi zote za utendaji na kama Waziri,alitimiza wajibu wake katika kila eneo.Akawa kivutio kikubwa kwa wananchi na hata adui zake ndani na nje ya nchi.

Kwa siri adui zake walikiri umahiri wake katika utendaji,ingawa hadharani,walionyesha chuki dhidi yake.Magufuli hakuwa fisadi.Hata hivyo adui zake walijaribu kila walipoweza kumpaka matope,ili aonekane kwamba naye ni fisadi na ana tabia za hovyo kama wao.Ila ukweli utabaki kuwa Magufuli hakuwa fisadi,kinyume chake alichukia ufisadi wa aina yeyote.

Chuki dhidi ya Magufuli zilionekana hata ndani ya chama chake.Yeye kwa sababu ya utendaji wake uliotukuka, alikuwa hukumu tosha kwa viongozi wengine wababaishaji.Sitaficha ukweli kwamba katika uchaguzi wa mwaka 2015,CCM ilikuwa njia panda,CCM ilikuwa inakaribia kuaga duru za kiasa za Tanzania.Kama chama, CCM ilijisahau,ikaweka maslahi ya wananchi pembeni na kukumbatia mafisadi wa aina zote na mabeberu.Mtizamo huu wa CCM ulifika kilele chake kwa kupitishwa Azimio Zanzibar, Azimio ambalo lilikumbatia ubepari na mafisadi moja kwa moja.

Hali ya wananchi kiuchumi iliendelea kuzorota,huku mafisadi na mabeberu wakiendelea kuneemeka.Tofauti kati ya walio nacho na wasio nacho ikazidi kuongezeka,na vilio vya maskini vikasikika kila kona ya Tanzania.Ikawa dhahiri kwamba madiliko yalihitajika,tena kwa haraka,ili kubadili hali hiyo.Hata hivyo wanyonge hawakuwa na mtetezi na hali yao ikazidi kuwa mbaya.Uonevu wa kila aina ulionekana kila mahali,haki zikapotea.Mahakama badala ya kutoa haki kwa wananchi kikawa chombo cha kulinda mafisadi na na mabeberu,huku chombo hicho kikinyang'anya haki za wananchi.Jeshi la Polisi nalo likasimamia dhuluma,badala ya kusimamia haki na kulinda wananchi na mali zao.Badala yake wakalinda maovu kama uuzaji wa madawa ya kulevya na wizi.Polisi wakaogopwa badala ya kuwa kimbilio la wanyonge.Magereza yakajaa vibaka,na waliopaswa kuwepo magerezani wakawa mtaani wakistarehe, huku wakikebehi wananchi.

Mwaka 2015 ulikuwa mwaka wa uchaguzi Tanzania.Lakini kwa jinsi hali ya nchi ilivyokuwa,hapakuwa na shaka yeyote kwamba CCM ingepoteza uchaguzi ule na upinzani,specifically CHADEMA wangeingia Ikulu

Nilishasema hapo awali kwamba Magufuli alikuwa hukumu kwa viongozi wenzie kwa sababu ya umahiri wake katika utendaji.Niseme hapa pia kwamba wananchi walimkubali sana Magufuli,kwa sababu ya uaminifu wake na utendaji wake.Kwa bahati mbaya ndani ya CCM hapakuwa na kiongozi aliyekuwa na sifa zinazokubalika na wananchi,isipokuwa Magufuli,ingawa alikuwa hakubaliki sana ndani ya chama chake.Hii ikakilazimu chama kumchagua kupereusha bendera ya CCM katika uchaguzi wa 2015.

Ni historia, sasa kwamba Magufuli alishinda katika uchaguzi ule.Baada ya ushindi wa kishindo na kusimikwa kuwa Rais,Magufuli alianza safari ya kuitengeza Tanzania mpya,safari ambayo sina shaka yeyote kwamba imemgharimu maisha yake.

Katika kuitengeneza Tanzania mpya,Magufuli alisimamia sera ya CCM kikamilifu,akaanzisha miradi mingi ambayo iliifanya Tanzania ipae kuichumi mara moja.Hii iliwezekana kwa kuwa kwanza yeye mwenyewe alikuwa mtendaji makini na mwaminifu.Hii ilimuwezesha kuunda serikali yenye watendaji waaminifu,makini na wenye weledi.Kwa hiyo kama nchi tukaweza kuongeza mapato kutoka Sh. Bil.800( tril.0.8) mpaka Tri.1.3! Fedha hii ikawa chachu ya maendeleo makubwa Tanzania kwa muda mfupi.

Niwakumbushe wasomaji wangu kwamba Magufuli ndiye aliyekuwa Rais wa kwanza kuwa na ujasiri wa kuwaambia Watanzania kwamba Tanzania ni tajiri.Wengine wote walijitahidi kuwa-aminisha Watanzania kwamba Tanzania ni nchi maskini.Hatua hii ilionyesha wazi kwamba Magufuli hakuwa na la kuficha na kwa hiyo alikuwa Rais na kiongozi mwaminifu.

Tabia yake ya uaminifu na kuwa a "no nonsense President," iliwafanya watendaji wote chini yake nao kutenda kwa umakini na uaminifu mkubwa.Matokeo yake Tanzania ikapata maendeleo kwa muda mfupi,akawa mfano ani na nje ya Tanzania.Magufuli akapata sifa kwa wananchi aliowaongoza,wakampenda na akapata sifa duniani kote.

Magufuli hayupo nasi tena,tunae Mama Samia Suluhu.Najua kwamba Magufuli sio Mama Samia,ila kama wananchi wa Tanzania,tunategemea utendaji uliotukuka kutoka kwake na hata zaidi.Tunajua the road ahead is bumpy and rough,kwa kuwa mazingira aliyokuwa nayo Hayati Rais Magufuli hayajabadilika na ina wezekana yakawa magumu zaidi.Hata hivyo tunategemea utumishi uliotukuka.
Ni lazima mmoja wetu afe kwa niaba ya wengi.Magufuli umekufa kwa niaba yetu,nenda kwa amani na kwa heri hero na jabali,kipenzi cha Watanzania na sisi tuko njiani.Karibu Mama Samia Suluhu.
Hakuna chochote cha msingi kilicho tofauti alichofanya Magufuli ambacho hakikufanywa na Sokoine.

Na inawezekana Sokoine alifanya yote aliyoyafanya Magufuli bila vituko visivyo na staha vya Magufuli.

Na wote wawili walikosea kwa kutaka kuongoza kibabe bila kuheshimu kanuni za msingi za uchumi.
 
Huwezi kunishawishi nimkubali muuaji, sheria na mahakama zipo, kama mtu ametenda kosa mfikishe mahakamani. Hizo propaganda za kizamani kuhusu west zimepitwa na wakati. Nchi zetu hizi bila misaada yao hatuwezi kujiendesha. Ila Mungu ni mkubwa, muuaji naye anakufa
You do not understand how governments around the world are run and operate,na kwa bahati mbaya you believe anything you hear,huna diagnostic ability na akili ya kujiongeza,sikulaumu.
 
Hakuna chochote cha msingi kilicho tofauti alichofanya Magufuli ambacho hakikufanywa na Sokoine.

Na inawezekana Sokoine alifanya yote aliyoyafanya Magufuli bila vituko visivyo na staha vya Magufuli.

Na wote wawili walikosea kwa kutaka kuongoza kibabe bila kuheshimu kanuni za msingi za uchumi.
Sina sababu ya ku-argue na a programmed,mind controlled and an enslaved individual Kiranga,that is who you are.I like people who think independently.
 
Sidhani kwa haraka haraka kwamba kuna kiongozi atatokea aibe kura na kuvuruga uchaguzi kama JPM.
Sidhani pia kama atatokea mtu mpenda sifa, dharau, vitisho, matusi na kujimwambafy kama JPM.
Sitegemei kama rekodi yake ya kutokuajiri na kutokuboresha maslahi ya wafanyakazi kwa miaka 6 mfululizo itavunjwa.
Rekodi nyingine ngumu kuvunja ni:
~Kupiga hoja kwa risasi.
~Kuua watu.
~Kupiga marufuku siasa.
~Kujilinda kwa kutumia marcenaries.
~Kupora wafanyabiashara.
~Kuzurura na mabulungutu ya fedha za kugawa kama takrima.
~Kudumaza taasisi na mihimili ya dola

Mengine ya sijuhi ujenzi wa nini au kusimamia nini na nini ni majukumu ambayo kiongozi yeyote ni lazima afanye...!!
 
KEEP ON SANITIZING THIS DICTATOR

MALIZENI KUFANYA SANITIZATION ILI MUJE MUANZE KULAMBA MIGUU MAMA AWAPE CHEO

NYIE ZUBAENI MNJAIFANYA MNAPENDA WAFU SANA AS IF YEYE NDIO ATAWATEUA,MAMA ATATEUA AKINA JANUARY,ENDELEENI KULILIA ASIEWEZA ONGEA

RUDINI FASTA MAMA ANATAKA MLAMBE MIGUU YAKE IWE SAFI

JIFANYIESHE TU KUA MNAJUA KULIA SANA KWENYE MISIBA YA DIKTETA
Ka-google maana ya dictator ujifunze zaidi.Labda swali la kujiuliza ni why Magufuli and not Nyerere or Mkapa.It's a simple question, but sensible.
 
Magufuli alionyesha utofauti kama kiongozi tangu mwanzo wa safari yake ya uongozi na siasa.Katika ngazi zote za utendaji na kama Waziri,alitimiza wajibu wake katika kila eneo.Akawa kivutio kikubwa kwa wananchi na hata adui zake ndani na nje ya nchi.

Kwa siri adui zake walikiri umahiri wake katika utendaji,ingawa hadharani,walionyesha chuki dhidi yake.Magufuli hakuwa fisadi.Hata hivyo adui zake walijaribu kila walipoweza kumpaka matope,ili aonekane kwamba naye ni fisadi na ana tabia za hovyo kama wao.Ila ukweli utabaki kuwa Magufuli hakuwa fisadi,kinyume chake alichukia ufisadi wa aina yeyote.

Chuki dhidi ya Magufuli zilionekana hata ndani ya chama chake.Yeye kwa sababu ya utendaji wake uliotukuka, alikuwa hukumu tosha kwa viongozi wengine wababaishaji.Sitaficha ukweli kwamba katika uchaguzi wa mwaka 2015,CCM ilikuwa njia panda,CCM ilikuwa inakaribia kuaga duru za kiasa za Tanzania.Kama chama, CCM ilijisahau,ikaweka maslahi ya wananchi pembeni na kukumbatia mafisadi wa aina zote na mabeberu.Mtizamo huu wa CCM ulifika kilele chake kwa kupitishwa Azimio Zanzibar, Azimio ambalo lilikumbatia ubepari na mafisadi moja kwa moja.

Hali ya wananchi kiuchumi iliendelea kuzorota,huku mafisadi na mabeberu wakiendelea kuneemeka.Tofauti kati ya walio nacho na wasio nacho ikazidi kuongezeka,na vilio vya maskini vikasikika kila kona ya Tanzania.Ikawa dhahiri kwamba madiliko yalihitajika,tena kwa haraka,ili kubadili hali hiyo.Hata hivyo wanyonge hawakuwa na mtetezi na hali yao ikazidi kuwa mbaya.Uonevu wa kila aina ulionekana kila mahali,haki zikapotea.Mahakama badala ya kutoa haki kwa wananchi kikawa chombo cha kulinda mafisadi na na mabeberu,huku chombo hicho kikinyang'anya haki za wananchi.Jeshi la Polisi nalo likasimamia dhuluma,badala ya kusimamia haki na kulinda wananchi na mali zao.Badala yake wakalinda maovu kama uuzaji wa madawa ya kulevya na wizi.Polisi wakaogopwa badala ya kuwa kimbilio la wanyonge.Magereza yakajaa vibaka,na waliopaswa kuwepo magerezani wakawa mtaani wakistarehe, huku wakikebehi wananchi.

Mwaka 2015 ulikuwa mwaka wa uchaguzi Tanzania.Lakini kwa jinsi hali ya nchi ilivyokuwa,hapakuwa na shaka yeyote kwamba CCM ingepoteza uchaguzi ule na upinzani,specifically CHADEMA wangeingia Ikulu

Nilishasema hapo awali kwamba Magufuli alikuwa hukumu kwa viongozi wenzie kwa sababu ya umahiri wake katika utendaji.Niseme hapa pia kwamba wananchi walimkubali sana Magufuli,kwa sababu ya uaminifu wake na utendaji wake.Kwa bahati mbaya ndani ya CCM hapakuwa na kiongozi aliyekuwa na sifa zinazokubalika na wananchi,isipokuwa Magufuli,ingawa alikuwa hakubaliki sana ndani ya chama chake.Hii ikakilazimu chama kumchagua kupereusha bendera ya CCM katika uchaguzi wa 2015.

Ni historia, sasa kwamba Magufuli alishinda katika uchaguzi ule.Baada ya ushindi wa kishindo na kusimikwa kuwa Rais,Magufuli alianza safari ya kuitengeza Tanzania mpya,safari ambayo sina shaka yeyote kwamba imemgharimu maisha yake.

Katika kuitengeneza Tanzania mpya,Magufuli alisimamia sera ya CCM kikamilifu,akaanzisha miradi mingi ambayo iliifanya Tanzania ipae kuichumi mara moja.Hii iliwezekana kwa kuwa kwanza yeye mwenyewe alikuwa mtendaji makini na mwaminifu.Hii ilimuwezesha kuunda serikali yenye watendaji waaminifu,makini na wenye weledi.Kwa hiyo kama nchi tukaweza kuongeza mapato kutoka Sh. Bil.800( tril.0.8) mpaka Tri.1.3! Fedha hii ikawa chachu ya maendeleo makubwa Tanzania kwa muda mfupi.

Niwakumbushe wasomaji wangu kwamba Magufuli ndiye aliyekuwa Rais wa kwanza kuwa na ujasiri wa kuwaambia Watanzania kwamba Tanzania ni tajiri.Wengine wote walijitahidi kuwa-aminisha Watanzania kwamba Tanzania ni nchi maskini.Hatua hii ilionyesha wazi kwamba Magufuli hakuwa na la kuficha na kwa hiyo alikuwa Rais na kiongozi mwaminifu.

Tabia yake ya uaminifu na kuwa a "no nonsense President," iliwafanya watendaji wote chini yake nao kutenda kwa umakini na uaminifu mkubwa.Matokeo yake Tanzania ikapata maendeleo kwa muda mfupi,na akawa mfano wa kuigwa ndani na nje ya Tanzania.Magufuli akapata sifa kwa wananchi aliowaongoza,wakampenda na akapata sifa duniani kote.

Magufuli hayupo nasi tena,tunae Mama Samia Suluhu.Najua kwamba Magufuli sio Mama Samia,ila kama wananchi wa Tanzania,tunategemea utendaji uliotukuka kutoka kwake na hata zaidi.Tunajua the road ahead is bumpy and rough,kwa kuwa mazingira aliyokuwa nayo Hayati Rais Magufuli hayajabadilika na ina wezekana yakawa magumu zaidi.Hata hivyo tunategemea utumishi uliotukuka.
Ni lazima mmoja wetu afe kwa niaba ya wengi.Magufuli umekufa kwa niaba yetu,nenda kwa amani na kwa heri hero na jabali,kipenzi cha Watanzania na sisi tuko njiani.Karibu Mama Samia Suluhu.
Wadanganywe wale wanaoandamana kuaga mwili lakini siyo sisi na akili zetu. Huyu ametawala kwa PROPAGANDA na mwisho wa PROPAGANDA ni tarehe 26/ 03/ 2021 tukisha MFUKIA.

Huyu Magufuli ametembea kwenye misingi iliyojengwa na MKAPA na KIKWETTE Ila watangulizi wake hawakuwa watu wa MISIFA
 
Magufuli alionyesha utofauti kama kiongozi tangu mwanzo wa safari yake ya uongozi na siasa.Katika ngazi zote za utendaji na kama Waziri,alitimiza wajibu wake katika kila eneo.Akawa kivutio kikubwa kwa wananchi na hata adui zake ndani na nje ya nchi.

Kwa siri adui zake walikiri umahiri wake katika utendaji,ingawa hadharani,walionyesha chuki dhidi yake.Magufuli hakuwa fisadi.Hata hivyo adui zake walijaribu kila walipoweza kumpaka matope,ili aonekane kwamba naye ni fisadi na ana tabia za hovyo kama wao.Ila ukweli utabaki kuwa Magufuli hakuwa fisadi,kinyume chake alichukia ufisadi wa aina yeyote.

Chuki dhidi ya Magufuli zilionekana hata ndani ya chama chake.Yeye kwa sababu ya utendaji wake uliotukuka, alikuwa hukumu tosha kwa viongozi wengine wababaishaji.Sitaficha ukweli kwamba katika uchaguzi wa mwaka 2015,CCM ilikuwa njia panda,CCM ilikuwa inakaribia kuaga duru za kiasa za Tanzania.Kama chama, CCM ilijisahau,ikaweka maslahi ya wananchi pembeni na kukumbatia mafisadi wa aina zote na mabeberu.Mtizamo huu wa CCM ulifika kilele chake kwa kupitishwa Azimio Zanzibar, Azimio ambalo lilikumbatia ubepari na mafisadi moja kwa moja.

Hali ya wananchi kiuchumi iliendelea kuzorota,huku mafisadi na mabeberu wakiendelea kuneemeka.Tofauti kati ya walio nacho na wasio nacho ikazidi kuongezeka,na vilio vya maskini vikasikika kila kona ya Tanzania.Ikawa dhahiri kwamba madiliko yalihitajika,tena kwa haraka,ili kubadili hali hiyo.Hata hivyo wanyonge hawakuwa na mtetezi na hali yao ikazidi kuwa mbaya.Uonevu wa kila aina ulionekana kila mahali,haki zikapotea.Mahakama badala ya kutoa haki kwa wananchi kikawa chombo cha kulinda mafisadi na na mabeberu,huku chombo hicho kikinyang'anya haki za wananchi.Jeshi la Polisi nalo likasimamia dhuluma,badala ya kusimamia haki na kulinda wananchi na mali zao.Badala yake wakalinda maovu kama uuzaji wa madawa ya kulevya na wizi.Polisi wakaogopwa badala ya kuwa kimbilio la wanyonge.Magereza yakajaa vibaka,na waliopaswa kuwepo magerezani wakawa mtaani wakistarehe, huku wakikebehi wananchi.

Mwaka 2015 ulikuwa mwaka wa uchaguzi Tanzania.Lakini kwa jinsi hali ya nchi ilivyokuwa,hapakuwa na shaka yeyote kwamba CCM ingepoteza uchaguzi ule na upinzani,specifically CHADEMA wangeingia Ikulu

Nilishasema hapo awali kwamba Magufuli alikuwa hukumu kwa viongozi wenzie kwa sababu ya umahiri wake katika utendaji.Niseme hapa pia kwamba wananchi walimkubali sana Magufuli,kwa sababu ya uaminifu wake na utendaji wake.Kwa bahati mbaya ndani ya CCM hapakuwa na kiongozi aliyekuwa na sifa zinazokubalika na wananchi,isipokuwa Magufuli,ingawa alikuwa hakubaliki sana ndani ya chama chake.Hii ikakilazimu chama kumchagua kupereusha bendera ya CCM katika uchaguzi wa 2015.

Ni historia, sasa kwamba Magufuli alishinda katika uchaguzi ule.Baada ya ushindi wa kishindo na kusimikwa kuwa Rais,Magufuli alianza safari ya kuitengeza Tanzania mpya,safari ambayo sina shaka yeyote kwamba imemgharimu maisha yake.

Katika kuitengeneza Tanzania mpya,Magufuli alisimamia sera ya CCM kikamilifu,akaanzisha miradi mingi ambayo iliifanya Tanzania ipae kuichumi mara moja.Hii iliwezekana kwa kuwa kwanza yeye mwenyewe alikuwa mtendaji makini na mwaminifu.Hii ilimuwezesha kuunda serikali yenye watendaji waaminifu,makini na wenye weledi.Kwa hiyo kama nchi tukaweza kuongeza mapato kutoka Sh. Bil.800( tril.0.8) mpaka Tri.1.3! Fedha hii ikawa chachu ya maendeleo makubwa Tanzania kwa muda mfupi.

Niwakumbushe wasomaji wangu kwamba Magufuli ndiye aliyekuwa Rais wa kwanza kuwa na ujasiri wa kuwaambia Watanzania kwamba Tanzania ni tajiri.Wengine wote walijitahidi kuwa-aminisha Watanzania kwamba Tanzania ni nchi maskini.Hatua hii ilionyesha wazi kwamba Magufuli hakuwa na la kuficha na kwa hiyo alikuwa Rais na kiongozi mwaminifu.

Tabia yake ya uaminifu na kuwa a "no nonsense President," iliwafanya watendaji wote chini yake nao kutenda kwa umakini na uaminifu mkubwa.Matokeo yake Tanzania ikapata maendeleo kwa muda mfupi,na akawa mfano wa kuigwa ndani na nje ya Tanzania.Magufuli akapata sifa kwa wananchi aliowaongoza,wakampenda na akapata sifa duniani kote.

Magufuli hayupo nasi tena,tunae Mama Samia Suluhu.Najua kwamba Magufuli sio Mama Samia,ila kama wananchi wa Tanzania,tunategemea utendaji uliotukuka kutoka kwake na hata zaidi.Tunajua the road ahead is bumpy and rough,kwa kuwa mazingira aliyokuwa nayo Hayati Rais Magufuli hayajabadilika na ina wezekana yakawa magumu zaidi.Hata hivyo tunategemea utumishi uliotukuka.
Ni lazima mmoja wetu afe kwa niaba ya wengi.Magufuli umekufa kwa niaba yetu,nenda kwa amani na kwa heri hero na jabali,kipenzi cha Watanzania na sisi tuko njiani.Karibu Mama Samia Suluhu.
Kwani amefanya nini???
 
Ukijikita kwenye propaganda unageuka kuwa mjinga kwa watu wenye uelewa. Wakati wa Nyerere tuliambiwa hatuwezi kupata rais kama Nyerere, leo hii mnatuambia hatuwezi kupata rais kama Magufuli! Hivi mbona mnatuchanganya, au nyie ndio mmechanganyikiwa?
Hivi unajua tumepita miongo mingapi kupata kariba ya Rais kama Nyerere?kumpata mwanasiasa kariba ya Magufuri sio leo,wakina Magufuri wanazaliwa wachache sana.R.i.p Magufuri ulikuwa Rais wa pekee Africa imepoteza mtu.
 
Tupate tena muuaji, mtekaji, mtesaji na mwenye roho mbaya kama magu?
Wewe naona umezaliwa jana tu, niambie Rais gani ambaye ajaua ktk utawala wake?titajie kuanzi kwa Nyerere mpaka kwa Kikwete,hata huko ulaya mnako sema kuna democlasia hukijifanya kichwa ngumu unaondoka na maji,akuna democrats isiyo na mipaka,uwezi vurunga nchi watu watu wakakuangalia tu.
 
Hivi unajua tumepita miongo mingapi kupata kariba ya Rais kama Nyerere?kumpata mwanasiasa kariba ya Magufuri sio leo,wakina Magufuri wanazaliwa wachache sana.R.i.p Magufuri ulikuwa Rais wa pekee Africa imepoteza mtu.

Kabla ya yeye kuingia madarakani deni la taifa lilikuwa 39t+, leo deni la taifa ni 59t+ yaani ametengeneza 1/3 ya deni la marais wote wanne wa kabla yake. Miradi yake mikubwa miwili ya SGR na SG(JNHPP) inakadiriwa kufikia 15t+ hakuna hata mmoja uliofikia nusu ya matarajio. Sasa hapo jipime hilo deni la 20t limefanya miradi gani ya kufikia kiwango hicho?
 
You do not understand how governments around the world are run and operate,na kwa bahati mbaya you believe anything you hear,huna diagnostic ability na akili ya kujiongeza,sikulaumu.
Kwa hiyo ben sa8, mawazo, azory nk walistahili kufa kwa sababu hawakukubaliana dikteta? Lissu alistahili kufa sababu ya kupinga udikteta? However, God is great, he's gone at last
 
Magufuli alionyesha utofauti kama kiongozi tangu mwanzo wa safari yake ya uongozi na siasa.Katika ngazi zote za utendaji na kama Waziri,alitimiza wajibu wake katika kila eneo.Akawa kivutio kikubwa kwa wananchi na hata adui zake ndani na nje ya nchi.

Kwa siri adui zake walikiri umahiri wake katika utendaji,ingawa hadharani,walionyesha chuki dhidi yake.Magufuli hakuwa fisadi.Hata hivyo adui zake walijaribu kila walipoweza kumpaka matope,ili aonekane kwamba naye ni fisadi na ana tabia za hovyo kama wao.Ila ukweli utabaki kuwa Magufuli hakuwa fisadi,kinyume chake alichukia ufisadi wa aina yeyote.

Chuki dhidi ya Magufuli zilionekana hata ndani ya chama chake.Yeye kwa sababu ya utendaji wake uliotukuka, alikuwa hukumu tosha kwa viongozi wengine wababaishaji.Sitaficha ukweli kwamba katika uchaguzi wa mwaka 2015,CCM ilikuwa njia panda,CCM ilikuwa inakaribia kuaga duru za kiasa za Tanzania.Kama chama, CCM ilijisahau,ikaweka maslahi ya wananchi pembeni na kukumbatia mafisadi wa aina zote na mabeberu.Mtizamo huu wa CCM ulifika kilele chake kwa kupitishwa Azimio Zanzibar, Azimio ambalo lilikumbatia ubepari na mafisadi moja kwa moja.

Hali ya wananchi kiuchumi iliendelea kuzorota,huku mafisadi na mabeberu wakiendelea kuneemeka.Tofauti kati ya walio nacho na wasio nacho ikazidi kuongezeka,na vilio vya maskini vikasikika kila kona ya Tanzania.Ikawa dhahiri kwamba madiliko yalihitajika,tena kwa haraka,ili kubadili hali hiyo.Hata hivyo wanyonge hawakuwa na mtetezi na hali yao ikazidi kuwa mbaya.Uonevu wa kila aina ulionekana kila mahali,haki zikapotea.Mahakama badala ya kutoa haki kwa wananchi kikawa chombo cha kulinda mafisadi na na mabeberu,huku chombo hicho kikinyang'anya haki za wananchi.Jeshi la Polisi nalo likasimamia dhuluma,badala ya kusimamia haki na kulinda wananchi na mali zao.Badala yake wakalinda maovu kama uuzaji wa madawa ya kulevya na wizi.Polisi wakaogopwa badala ya kuwa kimbilio la wanyonge.Magereza yakajaa vibaka,na waliopaswa kuwepo magerezani wakawa mtaani wakistarehe, huku wakikebehi wananchi.

Mwaka 2015 ulikuwa mwaka wa uchaguzi Tanzania.Lakini kwa jinsi hali ya nchi ilivyokuwa,hapakuwa na shaka yeyote kwamba CCM ingepoteza uchaguzi ule na upinzani,specifically CHADEMA wangeingia Ikulu

Nilishasema hapo awali kwamba Magufuli alikuwa hukumu kwa viongozi wenzie kwa sababu ya umahiri wake katika utendaji.Niseme hapa pia kwamba wananchi walimkubali sana Magufuli,kwa sababu ya uaminifu wake na utendaji wake.Kwa bahati mbaya ndani ya CCM hapakuwa na kiongozi aliyekuwa na sifa zinazokubalika na wananchi,isipokuwa Magufuli,ingawa alikuwa hakubaliki sana ndani ya chama chake.Hii ikakilazimu chama kumchagua kupereusha bendera ya CCM katika uchaguzi wa 2015.

Ni historia, sasa kwamba Magufuli alishinda katika uchaguzi ule.Baada ya ushindi wa kishindo na kusimikwa kuwa Rais,Magufuli alianza safari ya kuitengeza Tanzania mpya,safari ambayo sina shaka yeyote kwamba imemgharimu maisha yake.

Katika kuitengeneza Tanzania mpya,Magufuli alisimamia sera ya CCM kikamilifu,akaanzisha miradi mingi ambayo iliifanya Tanzania ipae kuichumi mara moja.Hii iliwezekana kwa kuwa kwanza yeye mwenyewe alikuwa mtendaji makini na mwaminifu.Hii ilimuwezesha kuunda serikali yenye watendaji waaminifu,makini na wenye weledi.Kwa hiyo kama nchi tukaweza kuongeza mapato kutoka Sh. Bil.800( tril.0.8) mpaka Tri.1.3! Fedha hii ikawa chachu ya maendeleo makubwa Tanzania kwa muda mfupi.

Niwakumbushe wasomaji wangu kwamba Magufuli ndiye aliyekuwa Rais wa kwanza kuwa na ujasiri wa kuwaambia Watanzania kwamba Tanzania ni tajiri.Wengine wote walijitahidi kuwa-aminisha Watanzania kwamba Tanzania ni nchi maskini.Hatua hii ilionyesha wazi kwamba Magufuli hakuwa na la kuficha na kwa hiyo alikuwa Rais na kiongozi mwaminifu.

Tabia yake ya uaminifu na kuwa a "no nonsense President," iliwafanya watendaji wote chini yake nao kutenda kwa umakini na uaminifu mkubwa.Matokeo yake Tanzania ikapata maendeleo kwa muda mfupi,na akawa mfano wa kuigwa ndani na nje ya Tanzania.Magufuli akapata sifa kwa wananchi aliowaongoza,wakampenda na akapata sifa duniani kote.

Magufuli hayupo nasi tena,tunae Mama Samia Suluhu.Najua kwamba Magufuli sio Mama Samia,ila kama wananchi wa Tanzania,tunategemea utendaji uliotukuka kutoka kwake na hata zaidi.Tunajua the road ahead is bumpy and rough,kwa kuwa mazingira aliyokuwa nayo Hayati Rais Magufuli hayajabadilika na ina wezekana yakawa magumu zaidi.Hata hivyo tunategemea utumishi uliotukuka.
Ni lazima mmoja wetu afe kwa niaba ya wengi.Magufuli umekufa kwa niaba yetu,nenda kwa amani na kwa heri hero na jabali,kipenzi cha Watanzania na sisi tuko njiani.Karibu Mama Samia Suluhu.
Bwana Yesu alisema: "Kweli nawaambieni, anayeniamini atafanya mambo ninayofanya mimi; naam, atafanya hata makuu zaidi..." (Yohane 14:12). Kama haya maneno ya Yesu ni ya kweli, ina maana kama tulimwamini JPM na kuamini aliyofanya kwa ajili yetu, 'tutafanya aliyoyafanya na hata makuu zaidi'. Kama tulifanya 'lip service' ni wazi kwamba tutashindwa. Hivyo, jibu lake unalo wewe na mimi na yule na yule kule na wao na wengine wale.
 
Back
Top Bottom