mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Imeteuliwa na mabeberu ?
Ongeza pia maneno ya kiswahi kwa kujua maana ya neno beberu na hatua za ubeberu.... Yaani ubepari na ukabaila
Inajue maana ya beberu👇👇👇
Imeteuliwa na mabeberu ?
Kuna jamaa wanakesha kutangaza mabaya!
Mchawi tu weweTunazidi kung'ara
Habari mbaya sana Ufipani
Usidanganye watu, haijashikwa na Tanzania, imeshikwa na Mtanzania na atafanyakazi kulingana na kanuni zinavyomruhusu tuTanzania imeteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hati za Utambulisho ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, New York, kwa mwaka 2020/2021
Uteuzi huu ulipendekezwa na Ofisi ya Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuteuliwa kwa kauli moja na wajumbe wote wa kamati hiyo.
Tarehe 23 Novemba 2020, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa, Prof. Kennedy Gastorn, ameongoza kikao cha kwanza cha kamati hii kwa mwaka huu, hii ni mara ya kwanza Tanzania kushika nafasi ya kuongoza kamati hii nyeti ya Umoja wa Mataifa.
Mama yako nae ni zuzu?Ccm mazuzu Sana Kenya wana kiti baraza la usalama UN lkn hata siku moja hawapigi makelele hv nyie uvccm kupewa hako ka kamati uchwara kelele kibao,enzi za jk post za UN zilikuwa kibao sn lkn ilichukuliwa kawaida ssna,hii ccm mpya mnatia aibu Sana pumbafuu nyinyi
hahaha unahalalisha watu kujiua 😂 😂Unajua bhana kuna mambo yanakera kiasi kwamba mtu unawez a kujinyonga!!
Kuna mtu atajinyonga huko Ufipa!!
Kila ubaya unageuzwa kuwa wema!
Mungu bariki TANZANIA
Basi sawa, mwakani zamu ya SomaliaUnyeti wake ni nini? Hii ni moja ya nafasi za mzunguko wala haimaanishi tuna sifa za pekee over other countries.
Sent using Jamii Forums mobile app