Tanzania imekuwa nchi ya Umbeya

Tanzania imekuwa nchi ya Umbeya

Hivi Rais kutoa hotuba kwa kuelezea uhalisia ni kulalamika? Tatizo la nchi hii tumezoea Umbeya wanasiasa wanafanya siasa za umbeya, waandishi wanaandika umbeya, watangazaji wanatangaza umbeya, watendaji wanatenda kazi kiumbeya umbeya, wazungumzaji mtaani wanazungumza umbeya, wahubiri makanisani na misikitini wanahubiri umbeya na kuacha kuhubiri neno la Mungu, wahadhiri vyuoni unafundisha umbeya,

baba na mama wanalea watoto wao kiumbeya mbeya ndiyo ktk familia uongo unazidi, wazazi wanasengenya jirani yao mbele ya watoto, watoto nao wanaenda kusengenya wao kwa kwao,
makanisani na miskitini binti akipata mchumba anapigwa umbeya umbeya mpk mchumba anakata tamaa tatizo nchi imekuwa ya kiumbeyaumbeya hakuna vitu serious ktk nchi ndiyo maana ktk nchi hii ukiingia ktk social Media 80% utakachokutana nacho ni umbeya tupu,
watu wameamua kutumia black propaganda kuendesha maisha, sasa mmempata kiongozi asiyeendana na umbeya mmeanza kumletea umbeya Mara analalamika, Mara dikteta Mara anawaminya kueneza umbeya kwa sasa tulishafanya umbeya sehemu ya maisha yetu.
Umenena kweli kabisa. Hasa tuliopata kuishi nje ya nchi tunapata taabu mnoo kuzoea umbeyambeya wa watanzania. Nadhani Dr Magufuli akazane kabisa ili watanzania wanyooke!
 
Umenena kweli kabisa. Hasa tuliopata kuishi nje ya nchi tunapata taabu mnoo kuzoea umbeyambeya wa watanzania. Nadhani Dr Magufuli akazane kabisa ili watanzania wanyooke!
Kisarawe naye nje ya nchi, hovyooo! Na kimekupeleka nini huko unakoita nje kama sio umbea?
 
Kwa iyo unataka kuniambia Baba Jessica ni Mmbeya!!! au unataka kusema kwamba Mzee wa pushapu ameingia kwenye fani ya mipasho fleva hihihihiii, Mhmh Mi simo, wala sihusikiii, hihihihiiiiii
 
Hivi Rais kutoa hotuba kwa kuelezea uhalisia ni kulalamika? Tatizo la nchi hii tumezoea Umbeya wanasiasa wanafanya siasa za umbeya, waandishi wanaandika umbeya, watangazaji wanatangaza umbeya, watendaji wanatenda kazi kiumbeya umbeya, wazungumzaji mtaani wanazungumza umbeya, wahubiri makanisani na misikitini wanahubiri umbeya na kuacha kuhubiri neno la Mungu, wahadhiri vyuoni unafundisha umbeya,

baba na mama wanalea watoto wao kiumbeya mbeya ndiyo ktk familia uongo unazidi, wazazi wanasengenya jirani yao mbele ya watoto, watoto nao wanaenda kusengenya wao kwa kwao,
makanisani na miskitini binti akipata mchumba anapigwa umbeya umbeya mpk mchumba anakata tamaa tatizo nchi imekuwa ya kiumbeyaumbeya hakuna vitu serious ktk nchi ndiyo maana ktk nchi hii ukiingia ktk social Media 80% utakachokutana nacho ni umbeya tupu,
watu wameamua kutumia black propaganda kuendesha maisha, sasa mmempata kiongozi asiyeendana na umbeya mmeanza kumletea umbeya Mara analalamika, Mara dikteta Mara anawaminya kueneza umbeya kwa sasa tulishafanya umbeya sehemu ya maisha yetu.
Kuna Thread zingine unafungua alafu unajuta kwanini hata ulifungua
 
Kisarawe naye nje ya nchi, hovyooo! Na kimekupeleka nini huko unakoita nje kama sio umbea?
Usipaniki....., ila huo ndiyo ukweli, watanzania wengi;
  1. Waongowaongo
  2. Hawajali muda
  3. Wavivu kufanya kazi
  4. Wanawaza kuiba tu ili waendelee
  5. Wanawaza ngono
  6. Wengi ni matapeli (mpaka vyuo vikuu mfano professors na lecturers)
 
Usipaniki....., ila huo ndiyo ukweli, watanzania wengi;
  1. Waongowaongo
  2. Hawajali muda
  3. Wavivu kufanya kazi
  4. Wanawaza kuiba tu ili waendelee
  5. Wanawaza ngono
  6. Wengi ni matapeli (mpaka vyuo vikuu mfano professors na lecturers)
Based on which research?Can you please share with us the manuscript?
 
Hivi Rais kutoa hotuba kwa kuelezea uhalisia ni kulalamika? Tatizo la nchi hii tumezoea Umbeya wanasiasa wanafanya siasa za umbeya, waandishi wanaandika umbeya, watangazaji wanatangaza umbeya, watendaji wanatenda kazi kiumbeya umbeya, wazungumzaji mtaani wanazungumza umbeya, wahubiri makanisani na misikitini wanahubiri umbeya na kuacha kuhubiri neno la Mungu, wahadhiri vyuoni unafundisha umbeya,

baba na mama wanalea watoto wao kiumbeya mbeya ndiyo ktk familia uongo unazidi, wazazi wanasengenya jirani yao mbele ya watoto, watoto nao wanaenda kusengenya wao kwa kwao,
makanisani na miskitini binti akipata mchumba anapigwa umbeya umbeya mpk mchumba anakata tamaa tatizo nchi imekuwa ya kiumbeyaumbeya hakuna vitu serious ktk nchi ndiyo maana ktk nchi hii ukiingia ktk social Media 80% utakachokutana nacho ni umbeya tupu,
watu wameamua kutumia black propaganda kuendesha maisha, sasa mmempata kiongozi asiyeendana na umbeya mmeanza kumletea umbeya Mara analalamika, Mara dikteta Mara anawaminya kueneza umbeya kwa sasa tulishafanya umbeya sehemu ya maisha yetu.
Mkuu nashukuru kwa kuliona hilo.
Na hili pia litaleta umbeya
 
Tumepishana tu viwango vya umbea. Ila wantanzania wanao itumikia ccm wamezidi kwa viwango vya umbea. Hao wamepitiliza na sasa wapo kwenye unafiki.
Wa chadema hawana tofauti na wambeya wa mbeya
 
Bosi wangu naye ofisini ni mbeya..anauliza viswali kutaka kupata taarifa za watu kimbeya..kweli tunaishi kimbeya
Eti, yani mimi kugonga lunch Mcity taarifa zishafika ofisini. Eti naishi maisha ya juu kuliko mshahara wangu. Yan ni full umbeya.
 
Kwakweli lazima nikiri kuwa nimecheka sana juu ya hii thred, ulichozungumza ni sahihi kabisa ni umbea kwa kwenda mbele yaani ni kama tumelogwa vile umbeya imekuwa ni sehemu ya maisha yetu ni shiidah. 90% ya thread hapa JF ni hizo hakuna issue serious kabisa ifike mahali tubadilike sasa kwakweli inakera sana
 
Hivi Rais kutoa hotuba kwa kuelezea uhalisia ni kulalamika? Tatizo la nchi hii tumezoea Umbeya wanasiasa wanafanya siasa za umbeya, waandishi wanaandika umbeya, watangazaji wanatangaza umbeya, watendaji wanatenda kazi kiumbeya umbeya, wazungumzaji mtaani wanazungumza umbeya, wahubiri makanisani na misikitini wanahubiri umbeya na kuacha kuhubiri neno la Mungu, wahadhiri vyuoni unafundisha umbeya,

baba na mama wanalea watoto wao kiumbeya mbeya ndiyo ktk familia uongo unazidi, wazazi wanasengenya jirani yao mbele ya watoto, watoto nao wanaenda kusengenya wao kwa kwao,
makanisani na miskitini binti akipata mchumba anapigwa umbeya umbeya mpk mchumba anakata tamaa tatizo nchi imekuwa ya kiumbeyaumbeya hakuna vitu serious ktk nchi ndiyo maana ktk nchi hii ukiingia ktk social Media 80% utakachokutana nacho ni umbeya tupu,
watu wameamua kutumia black propaganda kuendesha maisha, sasa mmempata kiongozi asiyeendana na umbeya mmeanza kumletea umbeya Mara analalamika, Mara dikteta Mara anawaminya kueneza umbeya kwa sasa tulishafanya umbeya sehemu ya maisha yetu.
Wewe jamaa mbaya sana, sasa unataka watu wachangie nini kama sio kuwapeleka kubaya? Wa faini ya million saba hajamaliza na mnataka afungwe! We mbaya kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom