Ndugu wanajamvi, ni kweli haya ninayoyasema!
Tangu kuibuliwa Kwa MFUMO WA UCHAWA,yaani mfumo wa kumsifu RAIS na kumtetea, vimeibuka vikundi Vingi sana na watu wengi sana ambao Sasa wanaoitwa MACHAWA.
Jambo hili limevuka mipaka Sasa ambako zimeanzishwa TAASISI mbadala za kuisemea serikali badala ya IDARA YA HABARI NA MAELEZO.
Waigizaji na wachekeshaji nao wamekuwa MACHAWA wa kumtetea RAIS!
HEBU TUANGALIE KIDOGO MAMBO YAFUATAYO:
Steve Nyerere Mengeli ni MSEMAJI WA SERIKALI au nchi ya Tanzania? Je, nchi imekosa watu wenye weledi na wajuzi wa mambo ya nchi mpaka COMEDIAN AWE msemaji wa RAIS AU NCHI kama alivyofanya MENGELI KUMJIBU GWAJIMA?
NCHI HII Tanzania imekufa rasmi Sasa kama Kila mtu anainuka kujibu mambo ya muhimu ya USALAMA WA NCHI? KUHOJI SIYO SHIDA! maana watu wanakufa, wanatekwa na vifo vyao vinaonekana na wanazikwa!
Mtu Baki anaamkeje na kuanza kujibu mambo ya kiusalama? Tena Kwa kujinadi tu.?
Tangu kuibuliwa Kwa MFUMO WA UCHAWA,yaani mfumo wa kumsifu RAIS na kumtetea, vimeibuka vikundi Vingi sana na watu wengi sana ambao Sasa wanaoitwa MACHAWA.
Jambo hili limevuka mipaka Sasa ambako zimeanzishwa TAASISI mbadala za kuisemea serikali badala ya IDARA YA HABARI NA MAELEZO.
Waigizaji na wachekeshaji nao wamekuwa MACHAWA wa kumtetea RAIS!
HEBU TUANGALIE KIDOGO MAMBO YAFUATAYO:
Steve Nyerere Mengeli ni MSEMAJI WA SERIKALI au nchi ya Tanzania? Je, nchi imekosa watu wenye weledi na wajuzi wa mambo ya nchi mpaka COMEDIAN AWE msemaji wa RAIS AU NCHI kama alivyofanya MENGELI KUMJIBU GWAJIMA?
NCHI HII Tanzania imekufa rasmi Sasa kama Kila mtu anainuka kujibu mambo ya muhimu ya USALAMA WA NCHI? KUHOJI SIYO SHIDA! maana watu wanakufa, wanatekwa na vifo vyao vinaonekana na wanazikwa!
Mtu Baki anaamkeje na kuanza kujibu mambo ya kiusalama? Tena Kwa kujinadi tu.?