Upuuzi mtupu.Chek mambo hayo jamaa tumewaacha mbali sana kiuchumi kweli uchumi wa kati kiboko
Gdp yetu ni dola bilioni 50
Wakati yao north korea ni bilioni 18 tu
Huku kenya wao ikiwa ni bilioni 70
Korea ya kusini wao wana 1.65 trilioni dollar gdp
Wakati Japan gdp yao ni 5008 trilion dollar
Kweli dunia haina usawaView attachment 1720557View attachment 1720558
Chek mambo hayo jamaa tumewaacha mbali sana kiuchumi kweli uchumi wa kati kiboko
Gdp yetu ni dola bilioni 50
Wakati yao north korea ni bilioni 18 tu
Huku kenya wao ikiwa ni bilioni 70
Korea ya kusini wao wana 1.65 trilioni dollar gdp
Wakati Japan gdp yao ni 5008 trilion dollar
Kweli dunia haina usawaView attachment 1720557View attachment 1720558
Kim Jong Jr kuna watu wanakuchokoza hukuChek mambo hayo jamaa tumewaacha mbali sana kiuchumi kweli uchumi wa kati kiboko
GDP yetu ni dola bilioni 50
Wakati yao North Korea ni bilioni 18 tu
Huku kenya wao ikiwa ni bilioni 70
Korea ya kusini wao wana 1.65 trilioni dollar GDP.
Wakati Japan gdp yao ni 5008 trilion dollar.
Kweli dunia haina usawa.
View attachment 1720557View attachment 1720558
Teknolojia gani ya north korea inayoizidi USA?unajua technology waliyonayo N.korea usa wenyew hawana..
hzo propaganda za world bank tu ambao wapo chini ya mmarekani na kama haujui jamaa wanaishi maisha mazuri sana kule kuliko tunavyoambiwa na hao mabeberu..
Teknolojia ipi hiyo ya North Korea ambayo USA haina?unajua technology waliyonayo N.korea usa wenyew hawana..
hzo propaganda za world bank tu ambao wapo chini ya mmarekani na kama haujui jamaa wanaishi maisha mazuri sana kule kuliko tunavyoambiwa na hao mabeberu..