Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hao ndiyo hawatakiwi ktk nchi yetuPamoja na yote ,huyu Dogo ukimskiliza yupo vizuri kihoja.
Hao ndiyo hawatakiwi ktk nchi yetuPamoja na yote ,huyu Dogo ukimskiliza yupo vizuri kihoja.
Hivi jiwe linajisikiajeWalidhani wana mzibia ridhiki yake kumbe ndiyo kwaanza wanamusafishia njia ya kuwa kama Nelson Mandela
Hapa wetu ukiwa na hoja za kujenga unaitwa mchocheziHuwezi kumwelewa MTU km humsikilizi, wte wanomponda hawajawahi kumsikiliza
Inaumiza sana kiongozi we acha tuHapa wetu ukiwa na hoja za kujenga unaitwa mchochezi
Huna hoja na unawewesekaKabla ya 'kutokwa' huyo kijana aliandika ujumbe kwenye facebook akidai maisha yake yako hatarini, ghafla Bavicha wakaanza kusambaza taarifa kuwa ametekwa! mara anaibukia Iringa baada ya abiria mwenzake kumuumbua. Leo tunaambiwa ASASI wakisaidiwa na EU imemtunuku zawadi ya kupigania haki. Hapo ukumbuke mwezi mmoja nyuma CHADEMA walifanyia mkutano wao kwenye ofisi za EU. Sasa jiulize, nani anateka Watanzania?
Lkn tutafika tuInaumiza sana kiongozi we acha tu
Yiaaa bado kidogoLkn tutafika tu
Nani alijua kama Nelson Mandela angekuwa Rais wa SA?pamoja na manyanyaso na kufungwa miaka 27 jela?lkn hivi leo jina la Mandela lina heshima kuliko hata watu walio haiYiaaa bado kidogo
Mkuu nasikia ndege ya saba imeagizwaNani alijua kama Nelson Mandela angekuwa Rais wa SA?pamoja na manyanyaso na kufungwa miaka 27 jela?lkn hivi leo jina la Mandela lina heshima kuliko hata watu walio hai
Shame on you who look aside when someone is subjected to police brutality and detained unlawfully....you like a remaining few by days in our societyZawadi hutolewa kwa yeyote siyo big deal!
Safi sana Mwigulu sijui atajisikiaje.
Pangu siyo pangu pakavu tena Mimi ndo nimeibadilisha.Wewe familia yako ni ipi? Quku qum ww
..mhakama ikumuhukumu kuwa na hatia ya kuwa dubious (kujiteka kisha kusema uongo kuwa ametekwa (uchochezi), huo ujasiri wake utatafsiriwa vipi. Mtu anayepewa tuzo ya uteutezi wa haki za binadamu hatakiwi kuwa mtu dubious!Ni
Haina uhusiano na kesi mkuu, hii amepewa kwa kazi alizofanya kwenye utetezi wa haki za binadamu, Indeed the young man deserve it. Anao ujasiri na uthubutu wa kutosha kabisa
Walimvisha mabaibui na kumlisha Satet dinner Ikulu ndogo wakasahu kumlisha ramani ya iringa...mawakili wakapita nae kwa mwendokasi...kesi ikaisha.Safi sana!
Sio uhuni ule uliofanywa na serikali kuandaa mpenzi feki ambaye hajui hata mtaa mmoja iringa!
Kwa uelewa wako mdogo lakini.Zawadi hutolewa kwa yeyote siyo big deal!
Mkuu waliompa tuzo wamempa kwa aliyokwisha yafanya na si kwa tukio lililopelekea kesi yake ya sasa. Akikutwa na hatia sheria itachukua mkondo wake lakini haifuti yote aliyofanya kabla ya hilo tukio. Unaweza pewa tuzo hata ukiwa gerezani kwa mazuri mengi uliyofanya kabla. Pia hakuna kesi hapo, wanampotezea muda na usumbufu kwa masomo yake tu...mhakama ikumuhukumu kuwa na hatia ya kuwa dubious (kujiteka kisha kusema uongo kuwa ametekwa (uchochezi), huo ujasiri wake utatafsiriwa vipi. Mtu anayepewa tuzo ya uteutezi wa haki za binadamu hatakiwi kuwa mtu dubious!