kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 118
- 237
Mratibu wa mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa anasema ziara zozote za viongozi wakubwa zinakuwa na manufaa ya kuboresha uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi hizo na kwamba Tanzania imekua kwenye nafasi nzuri.
"Viongozi hawa wakuu wanapopanga ziara zao kwa nchi zinazozungumza utawala bora na haki za binadamu huwa wanaangalia vitu vingi sana ndio watembelee. Hii inaonyesha Tanzania ni ya kidemokrasia na inaheshimu haki za binadamu, ni ishara nzuri kwa namna mambo yanavyoendelea nchini kwamba tupo vizuri inaridhisha." alisema Bwana Onesmo
Aidha alisema ujio wa makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris utafungua fursa za kibiashara baina ya Tanzania na Marekani, ikiwemo vikwazo viliyopo na namna bora ya kuviondoa.
"Viongozi hawa wakuu wanapopanga ziara zao kwa nchi zinazozungumza utawala bora na haki za binadamu huwa wanaangalia vitu vingi sana ndio watembelee. Hii inaonyesha Tanzania ni ya kidemokrasia na inaheshimu haki za binadamu, ni ishara nzuri kwa namna mambo yanavyoendelea nchini kwamba tupo vizuri inaridhisha." alisema Bwana Onesmo
Aidha alisema ujio wa makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris utafungua fursa za kibiashara baina ya Tanzania na Marekani, ikiwemo vikwazo viliyopo na namna bora ya kuviondoa.