johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,946
Huo ndio ukweli, wale wanaojiita wafanyabiashara wa korosho pamoja na kile chama chao ni kakikundi tu ka madalali.
Nawahakikishia madalali hawa wanaenda kuaibika soon kwani hii hatua aliyochukua Rais Magufuli inaenda kuleta tija kwa Wakulima na taifa kwa ujumla. Korosho inapelekwa sokoni moja kwa moja na mkulima mwenyewe ( via serikali) itakosaje profit margin nzuri?!
Hao madalali kwa kutikisa kibiriti walijisahau kuwa njiti zimejaa.
Kila la kheri serikali yetu!
Nawahakikishia madalali hawa wanaenda kuaibika soon kwani hii hatua aliyochukua Rais Magufuli inaenda kuleta tija kwa Wakulima na taifa kwa ujumla. Korosho inapelekwa sokoni moja kwa moja na mkulima mwenyewe ( via serikali) itakosaje profit margin nzuri?!
Hao madalali kwa kutikisa kibiriti walijisahau kuwa njiti zimejaa.
Kila la kheri serikali yetu!