Tanzania hatuna Polisi tuna Jeshi la Raisi linaitwa Polisi.
Tanzania tuna kitengo cha jeshi kinaitwa Polisi ambacho kazi yake kubwa sio kusaidia jamii kwenye mambo ya sheria bali kufuata maagizo ya kisiasa na kulinda na kuzuia vurugu. Lakini Polisi ya Tanzania inahusishwa na utekaji na waziwazi wanapokea Rushwa. Jeshi hili ambalo hata vyeo ni vya wakoloni hata wakoloni wenyewe huko kwao hawana jeshi la Polisi la ajabu kama hili letu
Kuanzia Saidi Mwema aondoke hakuna Polisi kabisa ndiyo imezikwa hata wanasiasa wanajua hilo
Tanzania tuna kitengo cha jeshi kinaitwa Polisi ambacho kazi yake kubwa sio kusaidia jamii kwenye mambo ya sheria bali kufuata maagizo ya kisiasa na kulinda na kuzuia vurugu. Lakini Polisi ya Tanzania inahusishwa na utekaji na waziwazi wanapokea Rushwa. Jeshi hili ambalo hata vyeo ni vya wakoloni hata wakoloni wenyewe huko kwao hawana jeshi la Polisi la ajabu kama hili letu
Kuanzia Saidi Mwema aondoke hakuna Polisi kabisa ndiyo imezikwa hata wanasiasa wanajua hilo