Nairoberry
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 935
- 528
Kwa hiyo una-admit huujui ukweli sio?
wacha kunichanganya nisha sema ukweli.
Kwa hiyo una-admit huujui ukweli sio?
Unnecessary trade barriers without doubt results to loss of trade for the entire region. For instance, when we impose a law that restricts tourists from coming from a neighboring country, we in away reduces tourist inflow both in that country as well as in ours….and many other examples that you can cite which depicts this sorry state of affairs. This reminds me of an article I had read on THE BASIC LAWS OF HUMAN STUPIDITY by Carlo M. Cipolla. The Basic Laws of Human Stupidity
By definition: A stupid person is a person who causes losses to another person or to a group of persons while himself deriving no gain and even possibly incurring losses.
Huyo Cipolla anaweza akawa ameandika vizuri hizo basic laws of human stupidity lakini kwa hakika hatakuwa ameandika tourism strategy ya Tanzania na sheria/taratibu zinazolinda hiyo tourism industry hapa. Sijui mipango ya Kenya ikoje na sina haki ya kuongelea mambo ya Kenya, ila kwa Tanzania wako kwenye 'quality vs quntity' Tanzania wako kwenye PRIME tourism. Anayetaka kuja hapa alipe gharama zilizowekwa na nchi HURU ya Tanzania. And so far we are very happy with they way things are going. Hivyo kama Kenya inataka kuleta watalii Tanzania hakuna shida, ila waheshimua sheria na taratibu zilizowekwa. Lakini kupunguza bei na kugeuza industry kuwa mass tourism kwa sasa ni tabu. Infact bei zinaweza kuengezwa so hurry while the price is still low!
Sasa mwataka kupandisha gharama za kodi bila kujali ya kesho?!!
..we need some sanity in this thing.
..the article says Tanzania[1] is number one in terms of trade barriers, then it is followed by Kenya[2],Uganda[3], and Burundi[4].
..my question is what is the difference btn being number 1 in trade barriers to being number 2 or 3? also what criteria were used in the study and drawing the conclusions that they did?
NB:
..what amazes me r the non stop attacks frm Kenya.
..ECONOMICAL TANZANIA IS NOT DOING ANY BETTER THAN KENYA. SASA HIZI ATTACKS AND ANIMOSITY FRM KENYA NI ZA NINI HASWAA???
dude, u don't need to pretend to be someone u r not..u and i know the truth.watanzania tunapenda kuwa na sideshows sana wakati tunapaswa kuchangia kwenye mada muhimu na njia za kusonga mbele. Sasa hizi ndio tuseme diversionary tactics zinatumika hata katika sekta zingine kufunika macho za ulimwengu. Sasa mlango mwafungulia wachache kama walio na fulusi za ziada kupeana. Kama makala ilivyosema. Malori yakiingia TZ, lazima yasimame stations kama manne hivi kutoleshwa kodi.
Mkuu Joka Kuu
niweka hii post si kwasababu kenya tu bora, lakini nimeangalia ripoti na KE na TZ ndio the most affected. sasa nilitaka tuwe na mjadala au tubadilishane mawazo jinsi ambavyo tutaweza kuondoa hizi trade barriers. Lakini kuna watu wametumwa hapa akina Abdulhalim. Sijui hawajui kusoma au vip? Tunajikokota kiuchumi na 4.5. Kwa hivyo this is a balanced report and also debate.
Mzalendo452,
..In my opinion hii article and the heading is a continuation of Kenyas media attacks towards Tanzania.
..Kenya is number 2 foreign investor in Tanzania. It is a little strange to me for a Kenyan newspaper to have a headline like that. The article highlights trade barriers that r in Tanzania, and doesn't mention anything that is happening in Kenya[which is number 2], or Burundi.
..personally nadhani haya mambo mnayofanya WAKENYA hayajengi bali YANABOMOA EAC. How do you expect to co-exists na wa-Tanzania if your media is up in arms with all sorts of negativity towards them?
but corruption is the highest trade barrier than weight bridges or id cards or traffic checkpoint or otherwise u r planning to destroy our roads by overweighing or export Mungiki robbers then tell us why are weight bridges and police checkups a hindrance to u! Do u think we forgot the wave of organized crime the Northern Tanzania city of Arusha and town of Moshi experienced from the "Mwangis" and the likes earlier 2000? Stupid report anyway....!
Lol...destroy our roads? hivi nyie si ndio mlikuwa mnapitia Kenya kwenda arusha,Dar etc maana central TZ ilikuwa haipitiki na leo mnakuja na story eti they are destroying our roads,then bila aibu mnakuja na fake patriotism hapa to defend ujinga wakati mnaoumia ni nyie wenyewe,FYI hizo barrier zinaumiza kila mtu na hazina citizenship may be ungekuwa into business ungeelewa jinsi zinavyoua productivity na business za watu,kuna topic nyingi sana humu tanzanians complaining about TRA,bandari,airports,police etc ila kwa sababu tu kuna comparisons na nchi nyingine za EA basi umefumba macho na kuanza attack the report na kutetea upuuzi unaofanywa na corrupt officers wa TZ
Tanzanian port is more efficient than Kenyan! Instead of poking ur nose on another person business, u should start solving ur inefficiencies first!
and that is the past we don't need to change our laws just because we used ur road way back! BTW we were paying visa by then n u did not ask us not to pay as we let u move freely in Tanzania
Kenya's barriers are retaliatory and aimed squarely at Tanzania. On the other hand, trade between Kenya and Rwanda is free and Kenyans and Rwandans can travel between the 2 countries without passports and work permits have been abolished too. Every single country on the other hand points at Tanzania as an impediment to integration and that is why even the presidents did not visit during your jubilee. This is a sad reality that has to be dealt with head on! We are stronger together but the willing partners of the EAC have made it clear to Tanzania that they are ready to move on with or without you.
Here we go again!!!
Why are we fighting over the bar tab while the ship has hit the Iceberg?
Are we really going to have a Federation without refferrendum?
I am sure Tanzanians don't possess the "Political will". So why bother with these stupid trading blocks that have no meaning to everyday people? This whole EAC **** is wack!!
Tanzanian port is more efficient than Kenyan! Instead of poking ur nose on another person business, u should start solving ur inefficiencies first!
and that is the past we don't need to change our laws just because we used ur road way back! BTW we were paying visa by then n u did not ask us not to pay as we let u move freely in Tanzania
Tanzanian port is more efficient than Kenyan! Instead of poking ur nose on another person business, u should start solving ur inefficiencies first!
and that is the past we don't need to change our laws just because we used ur road way back! BTW we were paying visa by then n u did not ask us not to pay as we let u move freely in Tanzania
cause Kenyans r hypocritesHere we go again!!!
Why are we fighting over the bar tab while the ship has hit the Iceberg?
Are we really going to have a Federation without refferrendum?
I am sure Tanzanians don't possess the "Political will". So why bother with these stupid trading blocks that have no meaning to everyday people? This whole EAC **** is wack!!
cause Kenyans r hypocrites