chibolo mzima kweli? amka bro tuache hz kashfa zisizna msing mind u kama tumetukanwa ni aibu ya wote sio huyo uliemtaja.[/Q
Umemwambia ukweli. Uzalendo kwanza
Hiyo ni mipango inayoambatana na mihemuko ya Kagame, waacheni tu sisi tushikamane kama nchi na tuwe tayari kupingana na njama zozote za kutaka kutuhujumu.
kwa sasa nguvu kubwa ni kuikomboa congo na ukoloni wa kagame hawa wengine tutawaangalia baadaye tuwafanye nini.
Kumekucha! TZ yatengwa EAC
Just like that? Kwa ile statement ya JK tu kuhusu M23? Labda kulikuwa na mengine tusoyajua.
Tutasema sana tu, lakini kuumia ndio huko. Kutengwa na jirani yako kuna madhara makubwa tusijifariji. Tutafute sababu na kujisafisha. Tumebweteka kwa kulewa misifa kwa kukalia raslimali na kuwauzia wazungu. Ni laana tuliyoitafuta siku zote. CCM hoyeeeeeee! utuzike salama, maana unaendelea kutujaza ujinga ati bora tule nyasi na kubeba msalaba wake. Tunashikishwa adabu, ina maana hata misimamo ya nchi hii haingwi mkono na majirani zake wote.
Hapo ni urafiki wa mashaka,hawana muda mrefu hao watakwaruzana vibaya vibaya Kagame atakapoanza kuwapelekesha
This was not an East African Community (EAC) event as many people would like to believe. This meeting had much to do with increasing the efficiency of Mombasa port on which Uganda, Rwanda, Burundi and South Sudan depend for their imports and exports. This explains the attendance of those three countries' heads of state along with Kenyan President Uhuru Kenyatta.
This was not an East African Community (EAC) event as many people would like to believe. This meeting had much to do with increasing the efficiency of Mombasa port on which Uganda, Rwanda, Burundi and South Sudan depend for their imports and exports. This explains the attendance of those three countries' heads of state along with Kenyan President Uhuru Kenyatta.
yes just like that.we talk too fast but walk too slow.next question!
Hii siyo EAC Joint Communique- ni ya nchi tu zilizokutana, ndiyo maana hakuna sehemu yoyote EAC inatajwa. Pili South Sudan si mwananchama wa EAC. Tatu ingekuwa EAC Secretariat akiwemo Katibu Mkuu wake wangekuwepo. Sijui mnaotoa hizi habari mnataka kuchonganisha au mnapotosha kwa madhumuni gani?
umeeleweka mkuu - hivyo kikao kijacho rasmi cha wakuu wa nchi EAC ni lini mkuu au vikao havina ratiba maalum. ni muda sasa.