Tanzania Editors Forum (TEF): Polisi wamwachie Maxence Melo bila masharti

Nimekodoa macho TV, Chanel ten sijaliona Hili Tamko la wahariri, nimekodolea macho ITV, bado sijaona Tamko Hili, Kwa bahati mbaya zaidi sio muumini wa TbC.
Nasubiria BBC labda wataonyesha au Kutongaza Hili Tamko.
Naogopa kusema Labda rude member kaamua kujisemea on behalf of TEF.
# Freemaxencemelo.
 
Hali ya hewa imechafuka nchini,NEC watakaa miezi sita ijayo kumshauri mkuu,au kamati kuu miezi minne ijayo
 
Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri anaandika kwa unyenyekevu na kulialia hivi..! Anazidiwa hata na mzee mwanakijiji aliyeandika kwa kushinikiza..!!

Halafu anamuomba Rais aingilie kati lkn wakati huo huo kaandika kuna taarifa kwamba police wanatekeleza maagizo kutoka juu. Huko juu mwenyekiti wa jukwaa la wahariri anapajua ni wapi!!?

Wahariri shinikizeni police wamuachie mex mello na wakikataa hakuna kuandika habari wala kutangaza habari zao..!!
Nakubaliana na wewe mkuu, kama TEF wanatuambia kuwa wamepewa taarifa, hayo ni maagizo kutoka juu, kwanini wanashinikiza wale waliopewa maagizo wamwachie Melo! Kama kweli wanaumizwa na matendo ya polisi wanahabari wasusie kuandika habari zinazohusu polisi ili aliyeko juu ajitokeze!
 
Hv jaman ninani aliye mkamilifu ktk hii dunia na kwamba hatak kukosolewa?na tunapoambiwa na wanasiasa serikali hii ni yakidikteta hii nkweli bila kificho leo hii mbunge wa arusha mjini ameshikwa yupo mahabusu kila wakati ni vizuiz visivyo vya msingi kwann lakin mmiliki wa blog hii wa jamii forum yupo kizuizn kisa hakielewek tukaaminishwa ktk kampen kua watu hawatapewa kesi zisizo za kweli je hii ndio tanzania tunayoitaka??
 
_92940929_4ef07389-aee6-46c8-a7a8-331555711eca.jpg



Salamu zisizokuwa za kawaida nchini Cameroon

Habari zilizosomwa zaidi
 
[HASHTAG]#freemaxecencemello[/HASHTAG]

[HASHTAG]#freemaxencebringbackourben[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom