Nilipokuwa napeleka Machungwa hapo Nairobi nilikuwa naruhusiwa kuitumia, pia miaka ya nyuma kidogo wakati naenda Congo na tank ilikuwa nikifika kule nilikuwa nazunguka na gari ndogo mtaani na haina shida, Nakumbuka hata nilipoenda kumsalimia rafiki yangu Malick London niliitumia ila kule ilitakiwa nitumie ndani ya mwaka tu.