Mwana-D'salaam
Member
- Jul 14, 2012
- 10
- 1
..'' ukiona umevamiwa na mtu/kundi la watu kwa lengo la kukubaka, na umejitahidi kujikwamua kutoka mikononi mwao ili wasifanikishe zoezi lao nawe unahisi kushindwa,,, bac relax, ili maumivu ya kubakwa yasiwe makali, kwa sababu kuendelea kujitutumua kutakuongezea maumivu na bado utabakwa tu...''
kuishambulia ccm katika utendaji wake ni dhahiri kwamba tunajitafutia maumivu makuu zaidi.. Wao ndio wababe na ukweli utabaki hivyo, cha msingi tukae na kujadili namna ya kusaidiana nao ili tuendeleze gurudumu letu mbele! ..
Kwa mtazamo wangu mdogo, naona kwamba utendaji mbovu wa serikali iliyopo madarakani inaweza kuwa inachangiwa na namna ambavyo tunaipressure! Tunainyima hali ya kujiamini, ina-panic, matokeo yake maumivu yanarudi kwetu!
Hebu tuipe ccm pumzi kidogo jamani..! Na hii ndiyo dawa stahiki...
nawasilisha hoja
kuishambulia ccm katika utendaji wake ni dhahiri kwamba tunajitafutia maumivu makuu zaidi.. Wao ndio wababe na ukweli utabaki hivyo, cha msingi tukae na kujadili namna ya kusaidiana nao ili tuendeleze gurudumu letu mbele! ..
Kwa mtazamo wangu mdogo, naona kwamba utendaji mbovu wa serikali iliyopo madarakani inaweza kuwa inachangiwa na namna ambavyo tunaipressure! Tunainyima hali ya kujiamini, ina-panic, matokeo yake maumivu yanarudi kwetu!
Hebu tuipe ccm pumzi kidogo jamani..! Na hii ndiyo dawa stahiki...
nawasilisha hoja