Tanzania , dawa ya ccm ni hii!

Tanzania , dawa ya ccm ni hii!

Joined
Jul 14, 2012
Posts
10
Reaction score
1
..'' ukiona umevamiwa na mtu/kundi la watu kwa lengo la kukubaka, na umejitahidi kujikwamua kutoka mikononi mwao ili wasifanikishe zoezi lao nawe unahisi kushindwa,,, bac relax, ili maumivu ya kubakwa yasiwe makali, kwa sababu kuendelea kujitutumua kutakuongezea maumivu na bado utabakwa tu...''

kuishambulia ccm katika utendaji wake ni dhahiri kwamba tunajitafutia maumivu makuu zaidi.. Wao ndio wababe na ukweli utabaki hivyo, cha msingi tukae na kujadili namna ya kusaidiana nao ili tuendeleze gurudumu letu mbele! ..

Kwa mtazamo wangu mdogo, naona kwamba utendaji mbovu wa serikali iliyopo madarakani inaweza kuwa inachangiwa na namna ambavyo tunaipressure! Tunainyima hali ya kujiamini, ina-panic, matokeo yake maumivu yanarudi kwetu!

Hebu tuipe ccm pumzi kidogo jamani..! Na hii ndiyo dawa stahiki...

nawasilisha hoja
 
Tutaongeza pressure mpaka wapasuke. Hakuna kulala mpaka lieleweke. Kama ni hivyo wakoloni wangekuwepo mpaka leo.
 
Waulize algeria libya egypt na sasa syria kama wanakaa tu kimya na kuacha serikali za kidikteta kuendelea kutawala
 
..'' ukiona umevamiwa na mtu/kundi la watu kwa lengo la kukubaka, na umejitahidi kujikwamua kutoka mikononi mwao ili wasifanikishe zoezi lao nawe unahisi kushindwa,,, bac relax, ili maumivu ya kubakwa yasiwe makali, kwa sababu kuendelea kujitutumua kutakuongezea maumivu na bado utabakwa tu...''

kuishambulia ccm katika utendaji wake ni dhahiri kwamba tunajitafutia maumivu makuu zaidi.. Wao ndio wababe na ukweli utabaki hivyo, cha msingi tukae na kujadili namna ya kusaidiana nao ili tuendeleze gurudumu letu mbele! ..

kwa mtazamo wangu mdogo, naona kwamba utendaji mbovu wa serikali iliyopo madarakani inaweza kuwa inachangiwa na namna ambavyo tunaipressure! Tunainyima hali ya kujiamini, ina-panic, matokeo yake maumivu yanarudi kwetu!

Hebu tuipe ccm pumzi kidogo jamani..! Na hii ndiyo dawa stahiki...

nawasilisha hoja



hapo kwenye red color kunanishawishi nisichangie kituko hiki.
 
He has a point jamani, kinachoendelea syria na yale yaliyotokea Misri, Yemeni,Libya,na Tunisia ni matokeo ya pressure ya aina tunayowapa CCM. Kama kweli dhamira zetu zinatutuma katika kuhakikisha kwamba tunaiondoa ccm madarakani pasipo kumwaga damu nyingi (sababu damu zimeisha anza kumwagika tayari) sisi ndio tunalazimika kupunguza pressure ama sivyo hili tufe litapasuka na kutuelekeza kwenye njia wanayoendelea nayo syria.
 
Kama kulipasua watalipasua wao kwa sababu hawako tayari kurekebishwa,wakati w a kukubaliana na wapinzani ndio huu sasa wao inavyoonekana bado hawako tayari kupoteza madaraka kwa njia yeyote ile.sasa kwa jinsi ninavyoijua afrika unaweza ukashangaa labda chama chochote kimeshinda ccm wakavuruga uchaguzi na kulazimisha matokeo halafu watu wakafa.wakishakufa ndo unashangaa wanaanzisha serikali ya mseto.kama kukubaliana wakubaliane sasa na sio kutuletea porojo hapa eti tupunguze presha kama umeshindwa unaacha.na kama umechoka kuishi si unajiua.
 
Umeleta hoja ya kishamba.
Nyie ndio mtakaokosa posho pale Lumumba.
 
Mawazo mgando haya. Nahisi wewe ni mdogo wa kingunge wewe. Hatuwaachii mwaka huu.
 
Dawa ya CCM ni M4C fullstop!tutagonga kila kona, kaka hao TISS na Jack Nzoka wao tunawaombea maisha marefu sana kunasiku watatusaidi kuhusu mambo flani flani ,hakuna kulala!
 
pamoja na wengine kukataa na kutolea nje hoja yako mimi binafsi naona una point nzuri hapa,ni kweli tutaumia zaidi manake ccm wanakosa confidence,Mtu yeyote aliyekosa confidence ni ngumu sana kuperfom,hasa kikwete mwenyekiti wao hajiamini kabisa na ikulu ilishasema tusimdharau rais wetu,sasa tufanyeje??wazee wetu waliumizwa sana na ccm,sisi tunaumia leo,kesho watoto wetu wataumizwa na watoto wa wana ccm kwani tumeshaona mifano ya akina wiliam malecela na rizone wakijaandaa kushika madaraka kama baba zao,nafikiri bora tuumie kwa sababu tumebakisha safari fupi kufika tunakotaka,tukiwaacha hawa na kuogopa tunaumia basi nafikiri tutaumia zaidi na zaidi kwa sababu 2015 wanaweza kuchukua tena madaraka na tukaumia zaidi,DAWA NI KUENDELEZA MAPAMBANO NA MADHARAU MAKUBWA KWAO ILI WAZIDI KUKOSA CONFIDENCE,kumbuka wana wa Israel walifika kwenye mji wenye boma Mungu akawaambia wauzunguke huku wakipiga kelele,kinachoendelea sasa hivi hapa Tanzania ni style ile ile ya wana wa israel,kelele ni muhimu sana
 
Kuteka na kutesa watu na kuwatupa Mabwepande ndiyo KUPANIC?
 
Wewe hapa ndio moto unakolea halafu unasema nini. Miaka 50 bado tu tukae kimya?
 
Wewe mtoa mada basi tulia wewe maana naona unafurahia kubakwa.
 
Back
Top Bottom