Miaka mitatu mijayo tutakuwa na crisis ya upungufu mkubwa wa ajira na
ongezeko kubwa la graduates mitaani kuliko kipindi chochote kile katika historia ya nchi yetu!
Ni changamoto nzuri kiuchumi lakini itatumaliza kisiasa.
Serikali iweke mkakati wa kuwajengea uwezo wa kujiajiri hii critical mass mapema kabla bomu hili halijailipua CCM 2015!
" says kigwangala."
Ni vyema sasa serikali ikaangalia jinsi ya kuwawezesha wasomi ili wajiajiri wao wenyewe.
Kwa mfano:-
UDSM,DIT,ARIDHI etc wana hitimu ma-injinia kila mwaka,lakini wote huenda kutafuta ajira kwenye makampuni makubwa
na huko huwa watumishi wa kawaida tu,na possibly wengi husahau hata profession zao.
Serikali ingetoa fungu kwa Mainjinia kama hawa,then waka kabidhiwa bara bara kwa mfano ili waisimamie,
kwanza wangepata experience na tungetengeneza wataalamu kweli kweli sio wataalamu wa nadharia tu
say kigwangala.
Nionavyo mimi pia ni kweli kwamba hili ni janga jipya,...ni zuri kwa wapinzani
kwani litachangia kuiondoa ccm madarakani,lakini halita wasaidia wapinzani sana baada ya hapo
maana tatizo hilo hilo laweza kuwaondoa madarakani pia.
Ni vyema sasa serikali ikaangalia jinsi ya kuwawezesha wasomi ili wajiajiri wao wenyewe.
Kwa mfano:-
UDSM,DIT,ARIDHI etc wana hitimu ma-injinia kila mwaka,lakini wote huenda kutafuta ajira kwenye makampuni makubwa
na huko huwa watumishi wa kawaida tu,na possibly wengi husahau hata profession zao.
Serikali ingetoa fungu kwa Mainjinia kama hawa,then waka kabidhiwa bara bara kwa mfano ili waisimamie,
kwanza wangepata experience na tungetengeneza wataalamu kweli kweli sio wataalamu wa nadharia tu
mkuu hii TIME BOMB honestly inaniuma sana nikiona nchi hii isivyo thamini wasomi hasa WAHANDISI where i belong ,hivi kweli mnataka kuendelea bila wahandisi jamani inaumiza sana wanatusisitiza tusome masomo ya sayansi halafu unaingia pale UHANDISI /FOE/COET unakaa miaka minne unatoka unaanza kuhaha mtaan,i the same time serikali inasema inaupungufu wa watalaamu kweli hii ni akili ?say kigwangala.
Nionavyo mimi pia ni kweli kwamba hili ni janga jipya,...ni zuri kwa wapinzani
kwani litachangia kuiondoa ccm madarakani,lakini halita wasaidia wapinzani sana baada ya hapo
maana tatizo hilo hilo laweza kuwaondoa madarakani pia.
Ni vyema sasa serikali ikaangalia jinsi ya kuwawezesha wasomi ili wajiajiri wao wenyewe.
Kwa mfano:-
UDSM,DIT,ARIDHI etc wana hitimu ma-injinia kila mwaka,lakini wote huenda kutafuta ajira kwenye makampuni makubwa
na huko huwa watumishi wa kawaida tu,na possibly wengi husahau hata profession zao.
Serikali ingetoa fungu kwa Mainjinia kama hawa,then waka kabidhiwa bara bara kwa mfano ili waisimamie,
kwanza wangepata experience na tungetengeneza wataalamu kweli kweli sio wataalamu wa nadharia tu
Pia mimi na wewe tuanze kwa kuwa wazalendo tukawa tunatumia bidhaa za hapa kwetu itapelekea kuongeza ajira kwani viwanda vitalazimika kuzalisha zaidi hivyo nguvu kazi itahitajika kwa wingi,hivyo hivyo kwa shughuli zinazohusiana na usambazaji zitakuwa na kuweza kuajiri watu wengi zaidi.Kwa njia hiyo hata kodi itaongezeka kwa maana itokanayo na wafanyakazi na ya mapato ambayo makampuni yatalipa.
mkuu hii TIME BOMB honestly inaniuma sana nikiona nchi hii isivyo thamini wasomi hasa WAHANDISI where i belong ,hivi kweli mnataka kuendelea bila wahandisi jamani inaumiza sana wanatusisitiza tusome masomo ya sayansi halafu unaingia pale UHANDISI /FOE/COET unakaa miaka minne unatoka unaanza kuhaha mtaan,i the same time serikali inasema inaupungufu wa watalaamu kweli hii ni akili ?
hivi nchi yenye watu 40M+ wenye degree wanaweza wakafika laki moja kweli ? kama hawafiki kuna utaratibu gani wakuwatumia hawa wasomi wachache waliopo
nina ushuhuda miaka ya karibuni ambayo na mimi ni moja ya magraduate yaani ukimaliza tu hata uwe nani labda daktari tu, vinginevyo lazima upige bench mtaani unless mzazi wako ana kampuni au unafahamiana na fulani ndio ukitoka chuo tu unapata kazi . tunakubali elimu yetu ina mapunguzu sana hasa kwenye kumuundaa mtu kujiajiri lakini hivi kila mtu akijiari kutakuwa na public servant kweli?
Ni kweli hilo janga si kwamba tu linakuja tayari tunalo, na cha kusikitisha ajira inategemea na mipango mizuri ya mda mrefu ya uchumi hivyo sio rahisi kukabiliana nalo kirahisi hivyo tena ukizingatia upeo wa viongozi wetu tulionao wanaojua kusema na sio kutenda.Pia mimi na wewe tuanze kwa kuwa wazalendo tukawa tunatumia bidhaa za hapa kwetu itapelekea kuongeza ajira kwani viwanda vitalazimika kuzalisha zaidi hivyo nguvu kazi itahitajika kwa wingi,hivyo hivyo kwa shughuli zinazohusiana na usambazaji zitakuwa na kuweza kuajiri watu wengi zaidi.Kwa njia hiyo hata kodi itaongezeka kwa maana itokanayo na wafanyakazi na ya mapato ambayo makampuni yatalipa.
Clemmy, hilo si janga jipya... lina miaka minne au mitano sasa
Yote ni matokeo ya siasa uchwara na focus ya serikali iliyo madarakani kubaki madarakani badala ya kuendeleza watu wake
to be honest, ni ile myopia ya wanasiasa wa leo wa CCM (as opposed to enzi za mwalimu) kuangalia zaidi 5 years, if i were a CCM leader i would easily focus on 20 years to come... lose one term and trust me wapinzani bado hawako tayari kuchukua nchi 10 continuously coz upinzani wetu upo disadvantaged na mfumo mzima wanchi
then recoup and have sustainable plans.... being outside the game at least for one term would benefit CCM kuliko upuuzi tunaouona sasa wa mabilioni tukumika kwa jimbo lenye literacy score ndogo, and poor on almost everything
anyway ni mawazo yangu.... this is not a new problem, kama hamis anavyotaka tuamini
Taaluma haizingatiwi tena siku hizi. Engineers na Doctors wanakuwa politicians, bankers etc
Ndugu yangu, katika hili tatizo lipo kwako mwenyewe na wala sio serikali.
Kuna vijaa kadhaa waliotoka hapo hapo FOE, na tena wametoka kwenye familia duni sana, kwa mfano hawa (Sihebs Technologies :: Our Solutions), lakini wamejitahidi kutumia fursa ya elimu, ujuzi na maarifa walioupata kujitafutia shughuli zao, mie binafsi nimewahi kutumia huduma zao na zilinifurahisha sanaa, na bado kuna matatizo chungu nzima katika nchi hii yanayohitaji "engineering solutions", msaada wa serikali na umma kwa ujumla unaweza ukawa tu kwenye kuwaunga mkono "vijana wanaojiajili" kwa kuacha kasumba tu ya kupenda vya nje na kuanza kutumia huduma na bidhaa za ndani.
Nakushauri tu usikate tamaa,na usijlimit tu kwenye kuajiriwa, anza sasa kutafuta solutions utakazotoa wewe kwenye matatizo yanayoikabili nchi yako, na mwisho wa shimo solution zako hizo zitakuwa ajira yako na za Watanzania wenzako.
Watanzania wangapi wanajitahidi kujineemesha na huu "u-bikra" wa taifa letu legaly?...BY Tuntu
nchii hii bado ni "bikira" kwa kiwango kikubwa na hii ni fursa kwa "msomi aliyeelimika",
Miaka 26 baada ya ujamaa kuzikwa hapa nchini bado kuna tuna fikra tegemezi sana, bado wananchi ata wale waliobahati kupata elimu nzuri wanategemea eti serikali iwalishe chakula mdomoni, fikra potofu sana hizi.
Serikali imefanya wajibu wake kwa kuhakikisha hao "unaowaita wasomi" wamepata elimu yao, . Tunatarajia kuwa mtu mwenye elimu ya "chuo kikuu" awe na uwezo wa kuyasoma vizuri mazingira yake, kuangalia matatizo yaliyopo, na kuyatafutia ufumbuzi kwa faida yake binafsi na taifa kwa ujumla. hivyo ni wajibu wa hao wasomi wenyewe, kupitia elimu zao ambazo zinapaswa ziambatane na ujuzi, maarifa na fikra sahihi kuweza kuanzisha shughuli za uzalishaji mali na kuwaajiri wengine ambao hawakupata fursa za "elimu".
Naamini kama wameelimika vizuri, kama elimu imewawezesha kuyajua mazingira yaliyopo vizuri, basi watakuwa na uwezo wa kuzitumia fursa zilizopo kujikomboa kiuchumi, la kama hawawezi basi tatizo lao kubwa "lipo kwenye fikra zao" wenyewe na hivyo ata kama serikali ingewapa mitaji, mitaji hiyo haitawasidia lolote na mwisho wa siku itakuwa ni matumizi mabovu ya fedha za walipa kodi wengine.
Naamini msaada wa serikali katika hili unaweza ukawa tu kwenye kuwaunga mkono wale "walioweza kufikiri na kuanzisha "shughuli zao" kwa kutoa upendeleo maalumu kwa kampuni za ndani kwenye baadhi ya kazi/huduma full-stop.
Jamani muda wa kuisubiri serikali ikuletee chakula mezani umepita, ebu tutambue kuwa "Ujamaa Umekufa Na Hautarudi Tena", ebu tubadilike kifikra na tuitumie elimu tuliyoipata kujikomboa wenyewe, nchii hii bado ni "bikira" kwa kiwango kikubwa na hii ni fursa kwa "msomi aliyeelimika", unachopaswa kufanya ni kufungua tu macho yako na kufikiri kwa bidii sana.