Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,265
- 105,436
Hii imekaaje??? Kutoka kwenye katiba yetu ibara ya 38 (2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, kiti cha
Rais kitakuwa ki wazi, na uchaguzi wa Rais utafanyika au nafasi
hiyo itajazwa vinginevyo kwa mujibu wa Katiba hii, kadri
itakavyokuwa, kila mara litokeapo lolote kati ya mambo
yafuatayo:-
(a) baada ya Bunge kuvunjwa;
Unajua kwa nini wamesema "Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii," unajua kuna masharti gani mengine?
Kikatiba Kikwete ni Rais na Shein ni Makamu mpaka hapo Kikwete na Bilal watakapoapishwa .