Tanzania bila CCM haiwezekani

Tanzania bila CCM haiwezekani

Tanganyika ilikuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu,na watanganyika walikuwepo chini ya tawala zao za kitemi lakini hawakuyumba.
Wakaja Wajermani baadae Waingereza Tanganyika ipo wala haikuyumba.
1954 akaja mgeni mwingine anaitwa TANU takampokea akafanya harakati zake zote hadi 1964 Tanganyika akaungana na Zanzibar akazaliwa Tanzania lakini hatukuyumba.
Mwaka 1977 TANU na ASP wakaungana akazaliwa CCM hatukuyumba.
Kati ya mwaka 1980 hadi 1985 Tanzania ilipitia kipindi kigumu kiuchumi kuliko wakati wowote ule tukaambiwa tufunge mikanda tukafunga mikanda maduka hayana kitu sukari,chunvi,sabani dawa za meno nk mpaka upange mstari almaarufu kama bidhaa adimu ,watanzania tukavumilia na nchi haikuyumba.
Mwaka 1993 Vyama vingi vikaanzishwa watabiri uchwala wakaonya tutayumba lakini wapi hatukuyumba ndio tukashuhudia kukua kwa demokrasia manyanyaso madogomadogo ya watawala yakatoweka kama moshi,kodi ya kichwa,kunyang'anywa mali kwa raia bila hiyari yao kama kuku,mbuzi,ng'ombe na michango isiyokuwa na kichwa wala miguu iliyopewa jina la kwenda kuimarisha chama ikatoweka, ingawa mali hiyo tuliyoichangia kama watanzania kama viwanja vya michezo kote mikoani vikaitwa vya CCM,na majengo na vitega uchumi vyote vilivyopatikana kabla 1993 ni mali ya wananchi wote wa Tanzania tukadhurumiwa lakini hatukuyumba.
Kama watanzania walipita katika mageuzi makubwa namna hiyo na uonevu mkubwa namna hiyo hawakuyumba,
Kwa nini leo tunaambiwa Tanzania bila CCM itayumba?
Mimi nasema nchi hata kama itaongozwa na NLD haitayumba hizo ni propaganda za wanasiasa ili waendelee kututafuna ova.
naunga mkono hoja
 
Tanganyika ilikuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu,na watanganyika walikuwepo chini ya tawala zao za kitemi lakini hawakuyumba.
Wakaja Wajermani baadae Waingereza Tanganyika ipo wala haikuyumba.
1954 akaja mgeni mwingine anaitwa TANU takampokea akafanya harakati zake zote hadi 1964 Tanganyika akaungana na Zanzibar akazaliwa Tanzania lakini hatukuyumba.
Mwaka 1977 TANU na ASP wakaungana akazaliwa CCM hatukuyumba.
Kati ya mwaka 1980 hadi 1985 Tanzania ilipitia kipindi kigumu kiuchumi kuliko wakati wowote ule tukaambiwa tufunge mikanda tukafunga mikanda maduka hayana kitu sukari,chunvi,sabani dawa za meno nk mpaka upange mstari almaarufu kama bidhaa adimu ,watanzania tukavumilia na nchi haikuyumba.
Mwaka 1993 Vyama vingi vikaanzishwa watabiri uchwala wakaonya tutayumba lakini wapi hatukuyumba ndio tukashuhudia kukua kwa demokrasia manyanyaso madogomadogo ya watawala yakatoweka kama moshi,kodi ya kichwa,kunyang'anywa mali kwa raia bila hiyari yao kama kuku,mbuzi,ng'ombe na michango isiyokuwa na kichwa wala miguu iliyopewa jina la kwenda kuimarisha chama ikatoweka, ingawa mali hiyo tuliyoichangia kama watanzania kama viwanja vya michezo kote mikoani vikaitwa vya CCM,na majengo na vitega uchumi vyote vilivyopatikana kabla 1993 ni mali ya wananchi wote wa Tanzania tukadhurumiwa lakini hatukuyumba.
Kama watanzania walipita katika mageuzi makubwa namna hiyo na uonevu mkubwa namna hiyo hawakuyumba,
Kwa nini leo tunaambiwa Tanzania bila CCM itayumba?
Mimi nasema nchi hata kama itaongozwa na NLD haitayumba hizo ni propaganda za wanasiasa ili waendelee kututafuna ova.
Sijui unataka iyumbe vipi ili ujue kuwa nchi inayumba?
 
Siasa ni siasa tu ilimladi cku ziende
 
Tanganyika ilikuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu,na watanganyika walikuwepo chini ya tawala zao za kitemi lakini hawakuyumba.
Wakaja Wajermani baadae Waingereza Tanganyika ipo wala haikuyumba.
1954 akaja mgeni mwingine anaitwa TANU takampokea akafanya harakati zake zote hadi 1964 Tanganyika akaungana na Zanzibar akazaliwa Tanzania lakini hatukuyumba.
Mwaka 1977 TANU na ASP wakaungana akazaliwa CCM hatukuyumba.
Kati ya mwaka 1980 hadi 1985 Tanzania ilipitia kipindi kigumu kiuchumi kuliko wakati wowote ule tukaambiwa tufunge mikanda tukafunga mikanda maduka hayana kitu sukari,chunvi,sabani dawa za meno nk mpaka upange mstari almaarufu kama bidhaa adimu ,watanzania tukavumilia na nchi haikuyumba.
Mwaka 1993 Vyama vingi vikaanzishwa watabiri uchwala wakaonya tutayumba lakini wapi hatukuyumba ndio tukashuhudia kukua kwa demokrasia manyanyaso madogomadogo ya watawala yakatoweka kama moshi,kodi ya kichwa,kunyang'anywa mali kwa raia bila hiyari yao kama kuku,mbuzi,ng'ombe na michango isiyokuwa na kichwa wala miguu iliyopewa jina la kwenda kuimarisha chama ikatoweka, ingawa mali hiyo tuliyoichangia kama watanzania kama viwanja vya michezo kote mikoani vikaitwa vya CCM,na majengo na vitega uchumi vyote vilivyopatikana kabla 1993 ni mali ya wananchi wote wa Tanzania tukadhurumiwa lakini hatukuyumba.
Kama watanzania walipita katika mageuzi makubwa namna hiyo na uonevu mkubwa namna hiyo hawakuyumba,
Kwa nini leo tunaambiwa Tanzania bila CCM itayumba?
Mimi nasema nchi hata kama itaongozwa na NLD haitayumba hizo ni propaganda za wanasiasa ili waendelee kututafuna ova.

Tanzania bila CCM = MAENDELEO + UHURU kamili
 
Nkamia apeleke hoja bungeni ya kufuta vyama vya upinzani.
 
Dah, Wakuu wengi kumbe hua hawasomi content... Ni kweli Mkuu kauli ya kwamba Tanzania bila CCM itayumba ni ya kipuuzi sana.
 
Tanganyika ilikuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu,na watanganyika walikuwepo chini ya tawala zao za kitemi lakini hawakuyumba.
Wakaja Wajermani baadae Waingereza Tanganyika ipo wala haikuyumba.
1954 akaja mgeni mwingine anaitwa TANU takampokea akafanya harakati zake zote hadi 1964 Tanganyika akaungana na Zanzibar akazaliwa Tanzania lakini hatukuyumba.
Mwaka 1977 TANU na ASP wakaungana akazaliwa CCM hatukuyumba.
Kati ya mwaka 1980 hadi 1985 Tanzania ilipitia kipindi kigumu kiuchumi kuliko wakati wowote ule tukaambiwa tufunge mikanda tukafunga mikanda maduka hayana kitu sukari,chunvi,sabani dawa za meno nk mpaka upange mstari almaarufu kama bidhaa adimu ,watanzania tukavumilia na nchi haikuyumba.
Mwaka 1993 Vyama vingi vikaanzishwa watabiri uchwala wakaonya tutayumba lakini wapi hatukuyumba ndio tukashuhudia kukua kwa demokrasia manyanyaso madogomadogo ya watawala yakatoweka kama moshi,kodi ya kichwa,kunyang'anywa mali kwa raia bila hiyari yao kama kuku,mbuzi,ng'ombe na michango isiyokuwa na kichwa wala miguu iliyopewa jina la kwenda kuimarisha chama ikatoweka, ingawa mali hiyo tuliyoichangia kama watanzania kama viwanja vya michezo kote mikoani vikaitwa vya CCM,na majengo na vitega uchumi vyote vilivyopatikana kabla 1993 ni mali ya wananchi wote wa Tanzania tukadhurumiwa lakini hatukuyumba.
Kama watanzania walipita katika mageuzi makubwa namna hiyo na uonevu mkubwa namna hiyo hawakuyumba,
Kwa nini leo tunaambiwa Tanzania bila CCM itayumba?
Mimi nasema nchi hata kama itaongozwa na NLD haitayumba hizo ni propaganda za wanasiasa ili waendelee kututafuna ova.
"
sasa ndugu, title ya huu uzi ilitakiwa iwe hivi "SI KWELI KUWA TANZANIA BILA CCM ITAYUMBA!"
 
kabisaa ccm ni kikundi cha wajanjawajanja na wezi
walioamua kuijigawia rasilimali zetu na kugeuza hii nchi ni mali yao

Wezi ni sifa hawa ni MJANGILI/MAJAMBAZI wa RASLIMALI za TAIFA letu
 
Tanganyika ilikuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu,na watanganyika walikuwepo chini ya tawala zao za kitemi lakini hawakuyumba.
Wakaja Wajermani baadae Waingereza Tanganyika ipo wala haikuyumba.
1954 akaja mgeni mwingine anaitwa TANU takampokea akafanya harakati zake zote hadi 1964 Tanganyika akaungana na Zanzibar akazaliwa Tanzania lakini hatukuyumba.
Mwaka 1977 TANU na ASP wakaungana akazaliwa CCM hatukuyumba.
Kati ya mwaka 1980 hadi 1985 Tanzania ilipitia kipindi kigumu kiuchumi kuliko wakati wowote ule tukaambiwa tufunge mikanda tukafunga mikanda maduka hayana kitu sukari,chunvi,sabani dawa za meno nk mpaka upange mstari almaarufu kama bidhaa adimu ,watanzania tukavumilia na nchi haikuyumba.
Mwaka 1993 Vyama vingi vikaanzishwa watabiri uchwala wakaonya tutayumba lakini wapi hatukuyumba ndio tukashuhudia kukua kwa demokrasia manyanyaso madogomadogo ya watawala yakatoweka kama moshi,kodi ya kichwa,kunyang'anywa mali kwa raia bila hiyari yao kama kuku,mbuzi,ng'ombe na michango isiyokuwa na kichwa wala miguu iliyopewa jina la kwenda kuimarisha chama ikatoweka, ingawa mali hiyo tuliyoichangia kama watanzania kama viwanja vya michezo kote mikoani vikaitwa vya CCM,na majengo na vitega uchumi vyote vilivyopatikana kabla 1993 ni mali ya wananchi wote wa Tanzania tukadhurumiwa lakini hatukuyumba.
Kama watanzania walipita katika mageuzi makubwa namna hiyo na uonevu mkubwa namna hiyo hawakuyumba,
Kwa nini leo tunaambiwa Tanzania bila CCM itayumba?
Mimi nasema nchi hata kama itaongozwa na NLD haitayumba hizo ni propaganda za wanasiasa ili waendelee kututafuna ova.

Kama Vyama vya Siasa hasa vya Upinzani nchini Tanzania vyenyewe havijitambui, havina dira na vinawekeza tu katika kutengeneza agenda za ' Kipumbavu ' zikidhani kwamba ndizo zitawashawishi Watanzania wawachague waende Ikulu tegemea CCM kutawala Tanzania mpaka pale Yesu Kristo wa Nazareth atakapokuja Kutukomboa.

Utashangaaje CCM kuzidi kutawala Tanzania kama Vyama vingi vya Upinzani hapa Tanzania vipo tu Dar, Morogoro, Mbeya, Mwanza, Kilimanjaro, Kigoma, Arusha, Iringa na Pemba tena ni maeneo ya mijijni tu? Nani aliyekuambia kuwa wapiga kura wengi wa Tanzania wapo maeneo tu ya mijini?

Upinzani uliopo Tanzania ni wa Kimaslahi tu na siyo wa Kimantiki na ndiyo maana unaona wenzetu wanaojua nini maana ya Siasa za Upinzani wanavyojidhatiti vizuri katika nchi zao hasa ' Kimkakati ' kisha chaguzi zikifanyika huko Kwao basi wanachukua ' madaraka ' mara moja.

Hakuna Upinzani Tanzania bali kuna ' Upuuzi ' tupu na CCM itaendelea kutawala milele daima Amina.
 
Taifa la Qatar bado linaandamwa na kesi ya rushwa, Qatar wanadaiwa kwamba walitoa rushwa ili wapewe nafasi ya kuandaa michuano ya soka ya kombe la dunia mwaka 2022 suala ambalo liliwaandama sana.

Nasser Al Khelaifi tajiri wa Qatar ambaye ndiye raisi wa klabu ya PSG naye ameingia katika kesi ya rushwa ambapo inadaiwa alitoa kiasi kikubwa cha pesa kwa moja wa maafisa wa FIFA ili kupewa haki za matangazo.

Al Khelaifi ambaye majuzi tu aliishangaza dunia kwa kufanya usajili uliovunja rekodi ya dunia kumnunua Neymar anadaiwa kwamba alihitaji kumiliki haki za kurusha matangazo ya michezo ya kombe la dunia mwaka 2026 na 2030.

Jerome Vackle aliyekuwa secretary wa zamani wa chama cha soka duniani FIFA anadaiwa alipewa kiasi cha pesa kwa ajili ya kulisaidia shirika la Bein Sports kupata haki za matangazo hayo ya kombe la dunia.

Kuhusishwa kwa Al Khelaifi na kesi hii kunazidi kuiweka Qatar karibu skendo ya rushwa katika fainali za kombe la dunia 2022 ambapo kesi ya Vackle naye ambaye alitimuliwa na FIFA kutokana na kesi za rushwa anazidi kuchafuka.

Maofisa wa masuala ya rushwa kutoka Uswisi wamesema El Khelaifi ambaye ni bosi wa shirika la Bein Sports alilitumia shirika lake kama njia ya kupata tenda hiyo ya matangazo ya kombe la dunia na tayari maofisa hao wameanza uchunguzi dhidi ya Al Khelaifi.

Bado hadi sasa raisi huyo wa PSG hajazungumza lolote juu ya madai dhidi yake japo hii inaweza kuwa kesi kubwa itakayomchafua yeye pamoja na Qatar kuelekea fainali za kombe la dunia mwaka 2022.



Taifa la Qatar bado linaandamwa na kesi ya rushwa, Qatar wanadaiwa kwamba walitoa rushwa ili wapewe nafasi ya kuandaa michuano ya soka ya kombe la dunia mwaka 2022 suala ambalo liliwaandama sana.

Nasser Al Khelaifi tajiri wa Qatar ambaye ndiye raisi wa klabu ya PSG naye ameingia katika kesi ya rushwa ambapo inadaiwa alitoa kiasi kikubwa cha pesa kwa moja wa maafisa wa FIFA ili kupewa haki za matangazo.

Al Khelaifi ambaye majuzi tu aliishangaza dunia kwa kufanya usajili uliovunja rekodi ya dunia kumnunua Neymar anadaiwa kwamba alihitaji kumiliki haki za kurusha matangazo ya michezo ya kombe la dunia mwaka 2026 na 2030.

Jerome Vackle aliyekuwa secretary wa zamani wa chama cha soka duniani FIFA anadaiwa alipewa kiasi cha pesa kwa ajili ya kulisaidia shirika la Bein Sports kupata haki za matangazo hayo ya kombe la dunia.

Kuhusishwa kwa Al Khelaifi na kesi hii kunazidi kuiweka Qatar karibu skendo ya rushwa katika fainali za kombe la dunia 2022 ambapo kesi ya Vackle naye ambaye alitimuliwa na FIFA kutokana na kesi za rushwa anazidi kuchafuka.

Maofisa wa masuala ya rushwa kutoka Uswisi wamesema El Khelaifi ambaye ni bosi wa shirika la Bein Sports alilitumia shirika lake kama njia ya kupata tenda hiyo ya matangazo ya kombe la dunia na tayari maofisa hao wameanza uchunguzi dhidi ya Al Khelaifi.

Bado hadi sasa raisi huyo wa PSG hajazungumza lolote juu ya madai dhidi yake japo hii inaweza kuwa kesi kubwa itakayomchafua yeye pamoja na Qatar kuelekea fainali za kombe la dunia mwaka 2022.


Nakusikitikia sana mtoa mada! Inaonesha wazi utupu wa ubongo wako kuhusu kanuni za maisha ya kitu chochote kile hapa duniani. Niambie ni kitu gani kimewahi kudumu daima? Dola zenye nguvu sana kuwahi kutawala dunia hii zote zilikufa kifo cha asili. Ndugu yangu ni muda tu, utaniambia wewe mwenyewe, acha kujitoa ufahamu, milele ni imani ya kiroho tu, na hapa kwenye swala la CCM hakuna imani kama hiyo. Kila kilichozaliwa hakika kitauonja umauti. Je CCM haikuzaliwa 1977? Hakika itakufa tu siku moja na siku hiyo haiko mbali sana. Ni fumbo la kanuni. Subiri.
Wale wa ligi za mchangani nadhani bado hawajui ngoma nzito ya CCM.

CCM ni chama bora na imara barani Africa. Hakuna chama chochote Africa kinachoweza kufikia au kukaribia nguvu kubwa ya CCM.

Ndani ya damu yangu inatembea rangi ya kijani. Nimesha kula yamini kwamba CCM milele nitaienzi maana ndio uhai wa taifa letu.
Maisha ya wananchi wa TZ wanategemea uhai wa chama kikubwa Africa CCM.

Kuna hadithi ya samaki kwamba akiwa ndani ya maji anaweza akafanya madoido mengi apendayo kufanya. Huku aikwa hajui nje ya maji kuna maisha gani.

Wengi wamejaribu kuenda nje ya CCM wameona ugumu na hali ngumu. Nje ya CCM ni shida, hakuna heshima ni kurudi chini kabisa.

Tunawaona mawaziri wawili wakuu walichokifanya. Sasa hivi wanaaibika wamekuwa kams hawana akili nzuri. Ni jambo la hatari sana kumtukana mzazi wako. CCM ni mzazi wa wote TZ. bila CCM hakuna Tanzania.

Rais ametoa mda kwa wale waliofanya makosa watubu.
Mnakaribishwa sana kabla ya mlango haujafungwa.

Bila CCM , Tanzania haipo.
 
Nakusikitikia sana mtoa mada! Inaonesha wazi utupu wa ubongo wako kuhusu kanuni za maisha ya kitu chochote kile hapa duniani. Niambie ni kitu gani kimewahi kudumu daima? Dola zenye nguvu sana kuwahi kutawala dunia hii zote zilikufa kifo cha asili. Ndugu yangu ni muda tu, utaniambia wewe mwenyewe, acha kujitoa ufahamu, milele ni imani ya kiroho tu, na hapa kwenye swala la CCM hakuna imani kama hiyo. Kila kilichozaliwa hakika kitauonja umauti. Je CCM haikuzaliwa 1977? Hakika itakufa tu siku moja na siku hiyo haiko mbali sana. Ni fumbo la kanuni. Subiri.
Pole kwa kujifariji. Subira ya vuta heri. Wewe kaa ukisubiri CCM kufa. Utabaki hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom