Tanzania bara ni nchi gani?

Tanzania bara ni nchi gani?

Angalia katiba ya mwaka 1977 imeweka wazi acha uvivu wa kusoma
 
Tatizo la watanganyika
 

Attachments

  • 1395736217838.jpg
    1395736217838.jpg
    55.8 KB · Views: 70
Tanzania bara aka Tanganyika ipo ila imejificha kwa kuvaa koti la serikali ya muungano
 
Hakuna nchi ya Tanganyika ilishakufa. Tanzania kwanza!


Nakubaliana na wewe kwa 100%. Tanganyika ilikufa baada tu ya kuungana na Zanzibar zikaunda jina jipya TANZANIA. Swali langu kwako mbona Zanzibar haikufa? (ina wimbo wa Taifa, bendera, Rais nk.).
 
Nakubaliana na wewe kwa 100%. Tanganyika ilikufa baada tu ya kuungana na Zanzibar zikaunda jina jipya TANZANIA. Swali langu kwako mbona Zanzibar haikufa? (ina wimbo wa Taifa, bendera, Rais nk.).

naunga mkono hoja.
 
Nimekuwa nikichanganyikiwa na kushindwa kuwaelewa viongozi na wabunge kitu kinachoonesha kuwa muungano una tatizo hata kutaja tu muungano wenyewe mfano:
-Wengine wanasema Tanzania bara na zanzibar

-Tanzania bara na Tanzania visiwani


Nchi ya Tanzania bara ndo nchi gani? Huu muungano ni wa nchi mbili mbina inatajwa zanzibar tu hiyo ya bara ni ipi?

Hizo nchi-Tanzania Bara na Tanzania Visiwani wanazijua CCM tu. Mimi najua kuna nchi inaitwa Zanzibar, na. Nchi nyingine ni Tanzania.
 
Nimekuwa nikichanganyikiwa na kushindwa kuwaelewa viongozi na wabunge kitu kinachoonesha kuwa muungano una tatizo hata kutaja tu muungano wenyewe mfano:
-Wengine wanasema Tanzania bara na zanzibar

-Tanzania bara na Tanzania visiwani


Nchi ya Tanzania bara ndo nchi gani? Huu muungano ni wa nchi mbili mbina inatajwa zanzibar tu hiyo ya bara ni ipi?


Wewe jina litakusaidia nini? Mbona kuna nchi Nyingi tu Duniani hazina Majina na zinaendelea tu? Kwa mfano Marekani au America kwa Kiingereza kila Nchi inaweza kujiita hivyo kuanzia Ajentina mpaka Kanada wana haki ya kujiita Marekani, au Afrika Kusini kila Nchi ina haki ya kujiita Afrika Kusini kuanzia Swaziland, Lesotho, Namibia, Msumbiji n.k au Afrika ya Kati kila Nchi inaweza kujiita Afrika Kati mpaka nchi yetu ya Tanzania inaweza kujiita Afrika ya Kati!

Acha Ujinga na wekeza kwenye ya mambo ya kukuleta Maendeleo, Jina halina maana yoyote ndio ujumbe wangu!
 
Wewe jina litakusaidia nini? Mbona kuna nchi Nyingi tu Duniani hazina Majina na zinaendelea tu? Kwa mfano Marekani au America kwa Kiingereza kila Nchi inaweza kujiita hivyo kuanzia Ajentina mpaka Kanada wana haki ya kujiita Marekani, au Afrika Kusini kila Nchi ina haki ya kujiita Afrika Kusini kuanzia Swaziland, Lesotho, Namibia, Msumbiji n.k au Afrika ya Kati kila Nchi inaweza kujiita Afrika Kati mpaka nchi yetu ya Tanzania inaweza kujiita Afrika ya Kati!

Acha Ujinga na wekeza kwenye ya mambo ya kukuleta Maendeleo, Jina halina maana yoyote ndio ujumbe wangu!

Mjinga ni wewe tena mbulula usiyeheshimu mawazo ya watu.
 
Wewe jina litakusaidia nini? Mbona kuna nchi Nyingi tu Duniani hazina Majina na zinaendelea tu? Kwa mfano Marekani au America kwa Kiingereza kila Nchi inaweza kujiita hivyo kuanzia Ajentina mpaka Kanada wana haki ya kujiita Marekani, au Afrika Kusini kila Nchi ina haki ya kujiita Afrika Kusini kuanzia Swaziland, Lesotho, Namibia, Msumbiji n.k au Afrika ya Kati kila Nchi inaweza kujiita Afrika Kati mpaka nchi yetu ya Tanzania inaweza kujiita Afrika ya Kati!

Acha Ujinga na wekeza kwenye ya mambo ya kukuleta Maendeleo, Jina halina maana yoyote ndio ujumbe wangu!

u.n.a.pumuliwa nyuma . Wewe
 
Back
Top Bottom