inaonekana Nyerere anakukosesha sana usingizi eee
Jee, wewe unaona ni sawa Nyerere kuiuwa Tanganyika?
Hakuna kitu huwa kinanikera na kuniuma kumsikia mtu akisema Tanzania Bara, kwanini viongozi wetu hawana uthubutu wa kusema Tanganyika?
inaonekana Nyerere anakukosesha sana usingizi eee
Jee, wewe unaona ni sawa Nyerere kuiuwa Tanganyika?
si sawa
Vipi kuhusu Kikwete kuizika Tanganyika ilhali ibado ICU
inaonekana Nyerere anakukosesha sana usingizi eee
Kama ilikufa na Visiwani ilitakiwa ife pia ili kizaliwe kitu kipya Tanzania. Sasa Tanganyika ilikufa na Zanzibar ikaponaponaje?
Tuwalaumu viongozi wetu wanao onekana dhairi kuiogopa znz nikijiuliza kwa nini sipati jibu mpaka leo!
Hakuza nchi znz ila najuwa kuna bara na visiwani na kama kuna znz basi pia tanganyika ipo.
Hapooo sasa ndipo tunapopewa majibu rais kwa maswali magumu! Na sijui trh 9 Dec. kila mwaka huwa tunasheherekea uhuru wa nchi gani kama Tanganyika ilikufa!!!
Kama ilikufa na Visiwani ilitakiwa ife pia ili kizaliwe kitu kipya Tanzania. Sasa Tanganyika ilikufa na Zanzibar ikaponaponaje?