Tanzania bara ni nchi gani?

Tanzania bara ni nchi gani?

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,253
Reaction score
1,475
Nimekuwa nikichanganyikiwa na kushindwa kuwaelewa viongozi na wabunge kitu kinachoonesha kuwa muungano una tatizo hata kutaja tu muungano wenyewe mfano:
-Wengine wanasema Tanzania bara na zanzibar

-Tanzania bara na Tanzania visiwani


Nchi ya Tanzania bara ndo nchi gani? Huu muungano ni wa nchi mbili mbina inatajwa zanzibar tu hiyo ya bara ni ipi?
 
TATIZO watanganyika hawana uzalendo na nchi yao hawajui thamani ya uhuru
 
ni tatizo kubwa. mbaya zaidi kwenda nchi ya zanzibar kuna masharti mapya tofauti kabisa na tanzania
 
Tanzania Bara ni nchi kizuka inayosemekana imeungana na Zanzibar. Pia hiyo nchi kizuka ndiyo imeimeza Tanganyika huku ikipotezewa utambulisho na benefits zake katika huo wanaouita muungano.
 
Tuwalaumu viongozi wetu wanao onekana dhairi kuiogopa znz nikijiuliza kwa nini sipati jibu mpaka leo!

Hakuza nchi znz ila najuwa kuna bara na visiwani na kama kuna znz basi pia tanganyika ipo.
 
Ukitamka Tanzania bara unadharaulisha hata lile tendo la kuishusha bendera ya mkolonı na kupandısha ya Tanganyıka pale uwanja wa Taifa Dec'61.
 
Hakuna nchi ya Tanganyika ilishakufa. Tanzania kwanza!


Kama ilikufa na Visiwani ilitakiwa ife pia ili kizaliwe kitu kipya Tanzania. Sasa Tanganyika ilikufa na Zanzibar ikaponaponaje?
 
Hakuna nchi ya Tanganyika ilishakufa. Tanzania kwanza!

na tarehe 9/12 mnasherehekea uhuru wa nchi gani............ upuuzi tu.
bora mngeungana na kenya ingekuwa raisi kuliko kuimeza zanzibar. sisi tunachukua nchi yetu kwa awamu
asiyejua maana usimwambie maana. MUUNGANO KIKATIBA ushakufa kwa zanzibar kutangaza NCHI (DOLA YA ZNZ)
jina tanzania bakieni nalo sisi jina letu zanzibar ni zuriii na twalipenda
ETI ZANZIBAR SI NCHI......-------!
SUBIRINI tupate hiyo katiba iwe 2 au 3 ni kuelekea kuvunja muungano tu.
 
Kama ilikufa na Visiwani ilitakiwa ife pia ili kizaliwe kitu kipya Tanzania. Sasa Tanganyika ilikufa na Zanzibar ikaponaponaje?
Waulize pia United Kingdom Ireland iliponaje baada ya kuungana ?
 
na tarehe 9/12 mnasherehekea uhuru wa nchi gani............ upuuzi tu.
bora mngeungana na kenya ingekuwa raisi kuliko kuimeza zanzibar. sisi tunachukua nchi yetu kwa awamu
asiyejua maana usimwambie maana. MUUNGANO KIKATIBA ushakufa kwa zanzibar kutangaza NCHI (DOLA YA ZNZ)
jina tanzania bakieni nalo sisi jina letu zanzibar ni zuriii na twalipenda
ETI ZANZIBAR SI NCHI......-------!
SUBIRINI tupate hiyo katiba iwe 2 au 3 ni kuelekea kuvunja muungano tu.
Ushangaa uadhimishwa kichokufa? shangaa pia Kenya kuna Kenya day, Moi day na sisi tuna Nyerere day lakini hao wote wameshakufa.
 
na tarehe 9/12 mnasherehekea uhuru wa nchi gani............ upuuzi tu.
bora mngeungana na kenya ingekuwa raisi kuliko kuimeza zanzibar. sisi tunachukua nchi yetu kwa awamu
asiyejua maana usimwambie maana. MUUNGANO KIKATIBA ushakufa kwa zanzibar kutangaza NCHI (DOLA YA ZNZ)
jina tanzania bakieni nalo sisi jina letu zanzibar ni zuriii na twalipenda
ETI ZANZIBAR SI NCHI......-------!
SUBIRINI tupate hiyo katiba iwe 2 au 3 ni kuelekea kuvunja muungano tu.
Swali zuri sana tarehe 9/12/..wanasherekea uhuru wa nchi gani?..
 
Swali zuri sana tarehe 9/12/..wanasherekea uhuru wa nchi gani?..
Ni kumbukumbu ya Uhuru wa Tanganyika kuna shida gani kuadhimisha? mbona kuna maadhimisho ya Kenyata day, na Nyerere day hali ya kuwa wameshakufa?

 
kinacho ni sikitisha ni viongozi watu kuwaogopa wazanzibar,kama raisi wetu! jamaa wemetengeneza katiba yao 2010 na kuvunja katiba ya muungano wa tanzania,hakuna wa kuwakemea na leo raisi wetu anaumauma maneno na kusema anayetaka serikali tatu asubiri aondoke madarakani! sasa inabidi watanzania tumuonyeshe kwa kuikataa hiyo katiba yake,
 
Nimekuwa nikichanganyikiwa na kushindwa kuwaelewa viongozi na wabunge kitu kinachoonesha kuwa muungano una tatizo hata kutaja tu muungano wenyewe mfano:
-Wengine wanasema Tanzania bara na zanzibar

-Tanzania bara na Tanzania visiwani


Nchi ya Tanzania bara ndo nchi gani? Huu muungano ni wa nchi mbili mbina inatajwa zanzibar tu hiyo ya bara ni ipi?

Ni nchi iliyoibuliwa na Nyerere baada ya kuiuwa Tanganyika.

Nina furaha kubwa leo kuona wengi mnajumuika nami kuona kuwa Nyerere alifanya makosa makubwa sana kuiuwa Tanganyika. Wengi wenu FaizaFoxy akisema Nyerere alifanya makosa mengi tu si hili la kuiuwa Tanganyika pekee huwa mnaniponda, leo kulikoni?
 
Nchi ni moja tu ya TANZANIA na Makao Makuu ya Nchi ni Dodoma ambayo nayo sijui kama mnaitambua? au ndio mnawaza kuwa ni Dar?

Msijichanganye. Ilivyo sasa ni kuwa Zanzibar ina serikali mbili ( 1. ya Zanzibar na 2. ni ya Muungano). Pia fahamu kuwa Tanganyika ambayo haijulikani ina serikali moja nayo ni ya muungano tu.
 
Ni nchi iliyoibuliwa na Nyerere baada ya kuiuwa Tanganyika.

Nina furaha kubwa leo kuona wengi mnajumuika nami kuona kuwa Nyerere alifanya makosa makubwa sana kuiuwa Tanganyika. Wengi wenu FaizaFoxy akisema Nyerere alifanya makosa mengi tu si hili la kuiuwa Tanganyika pekee huwa mnaniponda, leo kulikoni?


Lakini Si Nyerere tu hata huyo aliopo Madarakani anaikana Tanganyika. Laana Hii itawarudia.
 
Ni kumbukumbu ya Uhuru wa Tanganyika kuna shida gani kuadhimisha? mbona kuna maadhimisho ya Kenyata day, na Nyerere day hali ya kuwa wameshakufa?

Kama ilivyo ya mapinduzi Z'bar inasheherekewa kama kufa ndio kusheherekewa ili hali bado nchi ila tanganyika kifo chake tofauti na Z'bar..
Uhuru na Muungano ni vitu viwili tofauti,unaanza ukombozi(uhuru) alafu ndio muungano,unawezaje fanya muungano na marehemu(kisicho na uhai)?
Iyo Nyerere day au Kenyatta day walijikomboa toka kwa nani waje washeherekewe wakiwa wafu na sio wakiwa wazima na kama ukiwa mzima huwezi fanyiwa kumbukumbu(kutokana na mfano wako) mbona Mapinduzi ya Z'bar wanasheherekea kama uzima wa nchi ya Z'bar..
 
Ni nchi iliyoibuliwa na Nyerere baada ya kuiuwa Tanganyika.

Nina furaha kubwa leo kuona wengi mnajumuika nami kuona kuwa Nyerere alifanya makosa makubwa sana kuiuwa Tanganyika. Wengi wenu FaizaFoxy akisema Nyerere alifanya makosa mengi tu si hili la kuiuwa Tanganyika pekee huwa mnaniponda, leo kulikoni?

inaonekana Nyerere anakukosesha sana usingizi eee
 
Back
Top Bottom