Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,957
Kumekuwa na takwimu za vichocholoni hizo takwimu hazina uhalisia wowote tusijipe matumaini kwa mambo ambayo hayapo
♧ Deni la taifa lipo juu na linazidi kukua kila siku kutoka asilimia 28 hadi 40 kwa miaka minne tu
♧ pamoja kuwa na rasilimali nyingi lakn bado tunategemea misaada kutoka nje.
♧Rushwa bado ni tatizo kubwa sana tz kwenye tax management , usimamizi wa pesa za mikopo ni duni
♧ umasikini bado ni jang kubwa pia hakuna ahueni ni asilimia 2/3 tu ya watz wanaishi chini ya umasikini wa kupindukia
♧Miundo mbinu mibovu sana hasa barabara kwamfano barabara y mwanza to musoma ni mbovu kila siku ni ujenzi
WATZ TUNAKAZI KUBWA VIZAZI VYETU TUOMBE VISIWE KAMA HIVIRASILIMALI ZIPO ILA HATUFAIDIKI NAZO
♧ Deni la taifa lipo juu na linazidi kukua kila siku kutoka asilimia 28 hadi 40 kwa miaka minne tu
♧ pamoja kuwa na rasilimali nyingi lakn bado tunategemea misaada kutoka nje.
♧Rushwa bado ni tatizo kubwa sana tz kwenye tax management , usimamizi wa pesa za mikopo ni duni
♧ umasikini bado ni jang kubwa pia hakuna ahueni ni asilimia 2/3 tu ya watz wanaishi chini ya umasikini wa kupindukia
♧Miundo mbinu mibovu sana hasa barabara kwamfano barabara y mwanza to musoma ni mbovu kila siku ni ujenzi
WATZ TUNAKAZI KUBWA VIZAZI VYETU TUOMBE VISIWE KAMA HIVIRASILIMALI ZIPO ILA HATUFAIDIKI NAZO