Tanzania are so boring! (an article from Uganda Observer)

Tanzania are so boring! (an article from Uganda Observer)

Ohhoo!! good huyu yuko vizuri kwa uandishi hata atakayetaka kumarrest lazima ajihoji saana, lakini nimkumbushe kidogo mfumo wa utawala wa Gaddaf, M7, Kagame na CCM ni mmoja tu, hauna tofauti ila wao ni one man show kwetu sisi ni one part show, haiwezekani kwenye nchi iliyopevuka kidemocrasia chama tawala kinabaka uchaguzi, anayetangazwa cyo anayechaguliwa na wengi, mfano mzuri ni Zanzibar wameweka mpira kwapani hao!!!!!!!!!!!!

Kwa sababu demokrasia kwa masela wa kitanzania ni Chagadema kushinda uchaguzi!! Kwamba watu mil6 ndo waamue nani awe raisi na mil8 karibu 9 wawe wapole.
Kweli upinzani Tanzania ni kama kulea mtoto mwenye mtindio wa ubongo.
Hivi mshinde kwa ushawishi gani mkubwa? Hiyo falsafa yenu ya kubadilisha gia ndege ikiwa angani?
Mnafeli kwa sababu hamna mipango, hamuaminiki na hamna competent pesonnel. Ushahidi ni kutafutiza tafutiza wagombea, kwamba hamkuwa na watu wenye ushawishi kwa watanzania hadi kufikia Julai mwaka huu, having forgotten kwamba 2010 "mlishinda" ila mliibiwa kura.
Yuh know what? Sasa mnawahakikishia watz kuwa mlishindwa vibaya 2010 na hili mlilijua kabisa na hivyo kuhitaji mgombea "bora" zaidi mwaka huu.
Unfortunately enough, kwa makegeza yenu, mmeshindwa kujua mgombea bora hawezi kuwa fisadi!! Na mmefeli.
Kama kawaida mmebaki kulialia tena huku mkijua hamna majority votes, na sasa hivi mmezibwa midomo technically, kura zimebandikwa vituoni na kwa hiyo mnaposema mmeibiwa bila ushahidi kila mwenye akili anajua hizo ni blah blah!! Kwamba mtafanya nini na mmewekeza pesa nyingi za "marafiki"?!!
Hahaha Tanzania Are So Boring!
 
kwamba Nyerere is alive and ticking,,,n mm ndo nimeshindwa kuelewa lugha ya meli iyo au uyu jamaa aliandika iyo article 90's
 
Not even a party dictatorship but a party elite dictatorship. Mchakato wa kumpata mgombea urais kwa tiketi ya ccm umetuthibitishia kuwa chama hicho siyo wananchama bali ni wateule wachache waliohodhi madaraka kiasi cha kuweza hata kuvunja katiba yao kufikia malengo binafsi. Bora udikteta wa mtu mmoja kwa sababu mwisho wake uko karibu zaidi kuliko ule wa kikundi cha watu.
 
Hamujamuelewa... alichomaanisha hapo ni kwamba, haya yaliyotokea ingekuwa Uganda basi ingekuwa tofauti... kwa mfano, kama ingekuwa ni Uganda, basi badala ya JK kuondoka madarakani, basi kule ingeimbwa hakuna kiongozi kama M7 kwahiyo aendelee tu kuongoza... badala ya kumwacha Lowassa ajinasafi kwenye kampeni, basi ingekuwa Uganda angekumbana na nguvu ya virungu vya polisi! Is just writing style!

Kila nchi inayo matatizo yake kulingana na historia yake kisiasa. Kwa bahati nzuri, kitendo cha Mwalimu Nyerere kuachia madaraka kwa hiari kilituwezesha baadaye kurekebisha katiba na kuweka ukomo wa kipindi cha urais. Hivyo, haiwezekani sasa, hayo yanayofanyika Uganda kutokea Tanzania. Badala yake, tunayo matatizo ya aina tofauti. Tatizo letu kubwa ni wateule wachache kutuchagulia viongozi wakuu wa nchi yetu kwa maslahi yao binafsi zaidi kuliko ya umma. Katika orodha ndefu ya watiania ya urais kutoka ccm, kwa hakika kulikuwa na watu wazuri zaidi na wenye maono zaidi kuliko Dk. Magufuli. Demokrasia ilipindishwa kupita kiasi wakilengwa watu wawili, Membe na Magufuli tu. Wengine wote wakaenguliwa kwa vigezo mbalimbali kama umri, utajiri, ufisadi, nk. Hili ni tatizo kubwa.
 
Naona hujamwelewa mwandishi kabisa. Katumia tashtiti kufikisha ujumbe Uganda (kaandika kinyume nyume). In short kasifia demokrasia yetu, akilinganisha na nchi majirani.

Mwandishi hana uelewa wa kina siasa za Tanzania. Tangu lini demokrasia ipo Tanzania? Miaka zaidi ya hamsini tumetawali na kikundi cha watu wachache.
 
Ndio kasema hilo,na amesifia Tanzania kuheshimu term limits ndio maana kasema leo hii kuna marais Mwinyi, Mkapa na sasa Kikwete wakiwa na nguvu zao lakin waliilachia madaraka.

Kifupi,mwandishi anasifia demokrasia ya uchaguzi Tanzania na kuwa Tanzania ipi tofauti sana na nchi zingine za ukanda huu kama Uganda.
Nasi tuendeleze UTAMADUNI na heshima kwa Amani iliyojengeka naturally !!
Baraka za muumba kwa WaTanaznia....
 
Tanzania Are So Boring!

AN article from Uganda Observer!

I had come down to Dar es Salaam expecting some real-time action in the just- concluded Tanzania Elections.
Well, I have been thoroughly disappointed by both the leadership and people here. These neighbors of ours are not serious, politically, first they have all their former presidents living in harmony after ceding power yes, I said ceding power.

All post- Julias Nyerere presidents are alive and kicking. Ali Hassan Mwinyi served his term and passed the reins to Benjamini Mkapa who also passed the leadership to Jakaya Kikwete. I though this Kikwete man would prevail upon Tanzanians and do the normal thing- change that damn constitutions and stand for another term or completely remove term limits.

You are a president of a country; it is up to you to know how to manage transitions. How can you in this age and times relinquish power? This Kikwete man is really backward. He even says that ten years is enough for president to accomplish what he set out to do for the country- really!

Let me educate you, Mr. Kikwete! You need to have a vision; you can?t accomplish all you set to do in only ten years. And you are tired? At only 65 years of age? Have you not seen people are much older than you? But still pursuing the ideals that brought them to power? I don?t get it Rais Jakaya.

I am even laughing, how can your people- Tanzanians-allow that to happen? They should have beseeched you to say on as Baba wa Taifa (Fathers of the Nation). They should have sent delegation after delegation to assure you that without your leadership, Tanzania would be no more. Now without changing the constitutions, what legacies are leaving behind? What are you telling your brothers under the East Africa Community? That Tanzania is different? It seems your country is ideologically bankrupt.

For us in Uganda who were liberated by Tanzanians force in 1979, we abhor this exit behavior. We thought we were on the same thinking, since most of current leaders learnt their trade from Tanzanian trenches.

You even hold the election and former prime minister, Edward Ngoyai Lowassa, is allowed campign? Surely, something is amiss. Former prime ministers are not allowed to stand. A former cadre of ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) who defected the opposition Chadema and you allow him to traverse the country seeking votes?

So, what does Enerst Mangu, the inspector general of Tanzanian Police, do? Does he just sit back and watch Lowassa move around the country unhindered? What is use of the police force, if not to arrest and detain Lowassa whenever he tries to leave house, and generally clobber all those who claim to support him? Don?t you have tear gas? You gays are lousy?

How earth do you hold peaceful elections without shedding blood? And you guys have guts your ballot papers are not pre- ticked! And they printed in safe places. Is there no Nasser road in Dar es Salaam to print those damn papers?

Even as the counting goes on in some areas, you announce, on the national broadcaster, areas that the opposition has won! I am either missing something or Tanzanians are not humans. No arrest, no pre-ticked ballots, no bloodshed, no change of term limits and all is calm in the country? How then will we achive the East African Federation?

Your police chief Mangu needs few lessons from region. He should consult a master of policing at venue in Naguru in Uganda. His entire police force failed even to undress at least one woman?

What a waste of resources! So, Mr. Kikwete what are you going to do next? Do you have a farm to retire to? How did you convince your family that being a president was tiresome and you wanted to rest? At 65, you still could have had another ten more years.

I had come to learn something about good election from Tanzania; I have left a disappointed man. Let me leave Dar es Salaam and go back to Uganda where proper election are going to happen. My stay here has been disappointing. Kwaheri (goodbye) Tanzania with your boring politics!

Nkundad13@yahoo.co.uk

The author is human rights expect and specialist on refugee issue.

I like the way he want to send a message! To understand this article someone need to settle down and crack his/her brain,, thanks for the stylish article
 
Using Tanzania to dig at Museveni. Excellent article!
 
Kweli huyo ni human right "expect"......

Alitaka tu-shade blood ili apate cha kusema na kuandika kama "expect" wa refugees issues??

What a looser

Hujamwelewa kiongozi. The way alivyotumia hiyo lugha anamsema rais wake kwa kutumia mgongo wa rais wetu anayemaliza muda wake. Soma story nzima then ielewe kinyumenyume.

Hapo kikubwa amekubali kuwa Tanzania democracy imeiva na huko kwao kuna dictator.
 
Kwa sababu demokrasia kwa masela wa kitanzania ni Chagadema kushinda uchaguzi!! Kwamba watu mil6 ndo waamue nani awe raisi na mil8 karibu 9 wawe wapole.
Kweli upinzani Tanzania ni kama kulea mtoto mwenye mtindio wa ubongo.
Hivi mshinde kwa ushawishi gani mkubwa? Hiyo falsafa yenu ya kubadilisha gia ndege ikiwa angani?
Mnafeli kwa sababu hamna mipango, hamuaminiki na hamna competent pesonnel. Ushahidi ni kutafutiza tafutiza wagombea, kwamba hamkuwa na watu wenye ushawishi kwa watanzania hadi kufikia Julai mwaka huu, having forgotten kwamba 2010 "mlishinda" ila mliibiwa kura.
Yuh know what? Sasa mnawahakikishia watz kuwa mlishindwa vibaya 2010 na hili mlilijua kabisa na hivyo kuhitaji mgombea "bora" zaidi mwaka huu.
Unfortunately enough, kwa makegeza yenu, mmeshindwa kujua mgombea bora hawezi kuwa fisadi!! Na mmefeli.
Kama kawaida mmebaki kulialia tena huku mkijua hamna majority votes, na sasa hivi mmezibwa midomo technically, kura zimebandikwa vituoni na kwa hiyo mnaposema mmeibiwa bila ushahidi kila mwenye akili anajua hizo ni blah blah!! Kwamba mtafanya nini na mmewekeza pesa nyingi za "marafiki"?!!
Hahaha Tanzania Are So Boring!

Ukweli mchungu. Tanzania haijapata mpinzani wa kweli!
 
Kweli huyo ni human right "expect"......

Alitaka tu-shade blood ili apate cha kusema na kuandika kama "expect" wa refugees issues??

What a looser

Mkuu..hujamwelewa!..he was trying to tell ugandas how the real election is done..but kwa bahati mbaya kaondoka mapema..maana hakuona..pre-ticked ballots..zikizagaa pande zote za nchi..rigging of votes.. na unazi wa watawala kwa Zanzibar..unavyotokea..ukweli ni kuwa..in east african community..hakuna free and fair elections..kila nchi inamatatizo yake..si kenya,Tanzania,Uganda,Burundi,wala Rwanda..hakuna kitu!!!
 
Naona anamshika makalio Museven.Mtasikia umeokotwa mzoga wake porini muda si mrefu.
 
I wish could face this very smart in writing man. His art of writing is indeed legible and pointing. He interests me with his arguments, he points to the real requiref selfish leaders in indirect way! This is a real article to learn throuh.... big up!
 
Back
Top Bottom