Tanzania and Kenya launch coordinated crackdown on planned Saba Saba protests

What’s your point?
 
Tuwashukuru walio nje ya nchi hata kwa hiyo moral support. Wangeweza kunyamaza na kuendelea tu kula bata huko waliko. Sisi tulio ndani ya nchi si ndio tunaofirwa na kupotezwa?

Kama unadhani the status quo is acceptable, well and good!
 
" Tatizo letu kubwa ni umaskini siyo Gen Z " - W. Ruto
 
Tuwashukuru walio nje ya nchi hata kwa hiyo moral support. Wangeweza kunyamaza na kuendelea tu kula bata huko waliko. Sisi tulio ndani ya nchi si ndio tunaofirwa na kupotezwa?

Kama unadhani the status quo is acceptable, well and good!
Nakubaliana na kuwashukuru kwa msaada wao ila ifike wakati nao hata akina Maria Sarungi waje front badala ya kuongelea nje, sisi wa ndani tunajitokeza, tunaumizwa na kufa wakati wao wapo salama. Kiongozi bora huonesha mfano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…