Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,289
Ingekuwa unamueka mleta mada mbovu kwenye bin ningeanzia na ww
ha ha ha ha ha..
hahahah!! mie naona keyboard yake ina kigugumizi kabisa.
Mxhnsxxxxxxxkkshhdnfe kabisa weeeee....Am ril thanx 2 jf member 4 moxtly 2 accept ma rquext ov bng ma frnd juxt continue wth that heart am ril hapy 2 gotta u az frndz 2gether ma man.phone me via 0763411331.
Kuna mtu nilimpiga marufuku kuandika message za kihivi. Sijaelewa hata alichoandika.
Mxhnsxxxxxxxkkshhdnfe kabisa weeeee....
nahisihakusoma mazingira kwanza maskini ila atajifunza sasa
^^
Ukiwa na watoto wawili kama huyu, mmoja unagawa
^^
Duu! Chainiz!!
Kwa hali hii...Nadhani, kuwe na Umri wa watu kujiunga na Jamiiforum(ingawa wengine bado hawajakua kifikra ingawa wana umri mkubwa), vinginevyo kuwe na Jukwaa la watoto.
What kind of language is this? au keyboard/keypad yako ina kwikwi??
mi kaniacha hoi hawa siju shule hawajafungua,huyu ni wale wa xoxo xaxa wananikera